Wanawake mnaovaa kipini puani mpewe maua yenu

Wanawake mnaovaa kipini puani mpewe maua yenu

Samahani naomba mnisamehe kama swali langu la kijinga🙏

Hivi hiyo shisha hapo wanapoweka mdomoni huwa panabadiloshwa kila mtu anapewa chake au suala la afya hygiene likoje?🙏
Kila mtu ana filta yake ya kuvutia
 
Ndugu zangu nimejiridhisha hakuna mwanamke anayevaa kipini puani akawa fala.

Alafu wengi wao wana miili flani hivi kama Zuchu, kwenye kuzagamuana sasa [emoji119][emoji119]
Kuna watu wanasema huwa ni wakorofi sana, hasa uwakute ni wembamba. Ila mimi sijathibitisha hilo bado, kwa wenye kuthibitisha watusaidie.

I declare interest mpenzi wangu naye ni mwembamba pia, lakini havai kipini puani. Vilevile hajasema kama ana mpango wa kuvaa kipini.

Ova
 
Kuna watu wanasema huwa ni wakorofi sana, hasa uwakute ni wembamba. Ila mimi sijathibitisha hilo bado, kwa wenye kuthibitisha watusaidie.

I declare interest mpenzi wangu naye ni mwembamba pia, lakini havai kipini puani. Vilevile hajasema kama ana mpango wa kuvaa kipini.

Ova
Sivai kwa sababu…
1. Naona ni uhuni
2. Woga wa kutoboa pua.
Kama unapenda we jiandae kuniuguza hadi nipone.
 
Jambo moja zuri ni kuwa ni wasafi sana. Huwezi kutana na muweka kipini mchafu mchafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom