Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

Few things I a have learnt about this mysterious thing called MARRIAGE:
A woman will probably have sex with any man she likes, while A man will probably have sex with a woman he can. But in a long run a man will marry a woman he likes, while a woman will get married to any man she can.

AU Katika lugha yetu pendwa iko hivi: Mara nyingi mwanamke anaweza kufanya ngono na mwanaume yoyote amtakaye yeye, lakini mwanaume atafanya ngono na yule mwanamke ambaye ameweza kumpata kwa wakati huo. Kwenye suala zima la NDOA wanawake wanakuwa na nguvu kubwa ya kuamua ni nani alale au asilale naye.

Japo sasa linapokuja suala zima la NDOA hii hugeuka kinyume, ambapo mwanamme huoa mwanamke amtakaye yeye, ilhali wanawake wengi huolewa na mwanaume yoyote anayeweza kuolewa nao kwa wakati huo. Kwenye suala zima la NDOA wanaume tunakuwa na nguvu kubwa ya kufanya maamuzi ya mwanamke gani wa kuoa.

Bahati mbaya sana, dada zetu walio wengi hudhania kwamba kwasababu hufuatwa na wanaume wengi ambao lengo lao ni NGONO, basi itakuwa hivyohivyo hadi kwenye suala la NDOA. Nilichojifunza ni kwamba wanaume wengi huwa tunachagua kupitiliza (We Become Very Peaky) linapokuja suala zima la mwanamke wa kuoa. Hatuangalii uzuri wa maumbile na ngono peke yake, na hapa ndipo tatizo linapoanza. Kuna wanawake wazuri mno niliwahi kuwa nao huko nyuma, lakini nilipoambiwa nioe mmoja wao sikuweza kukubali kabisa.


NB: A woman controls the access to sex, while a man controls the access to marriage.
Ni kweli..
 
Huwa siamiani kama mwanamwke anaweza kukosa mchumba,au mwanaume wa kumtongoza kundi la wanawake wanaosimama kanisani Kwa mwamposa ambao hawana wachumba,na wanaume ni kubwa tena Hilo kundi linakua na mixture ya wanawake wote mim kitu ambacho huw najiuliza nyinyi wanawake ambao hamna wachumba Wala wanaume kwamba humtongozwi,au Kuna Nini behind

au nyinyi ndio wale ambao mkitongozwa mim na mtu wangu ila mkiwa kanisani mnasimama muombewe mpate wachumba na je kama kweli hamna humo kanisani hamna vijana kweli wakachangamkia hiyo fursa manaa Kuna watoto wengine wakisama unaridhika mwenyewe unasema hapa kweli Mungu kaumba

Haiwezakani Mwanamke wa miaka 24 to 25 ukawa huna mchumba kabisa kwajinsi sisi wanaume tulivyo Kuna wanaume wanaweza kutongoza hadi wanawake wa miaka 50 nyiny mabinti wadogo mnakua mmejifisha wapi

au nyinyi ndio wale wanawake ambao tukiwa kweny daladala tukiwapa salamu tu mnajifanya mpo bize mnachart na simu zenu Yani mwanamke unakosaje mwanaume kabisa yani wew utoke mbezi hadi kariakoo ukose kijana wakukusumbua humo njiani maana kariakoo ndio sehemu yenye vijana wakila aina wenyewe sumu Kali mdomoni,wasumbufu,vinganizi wa kuomba namba,waongaji,waongowaongo wasumbufu,wale wenye kusifia sifia na chap Kwa chap anakuomba namba hapo hapo

Kweli upite mfano ule mtaa wa congo na mchikichi ule mtaa wa vijana wanauza suluali za jeans za kike wanapenda kuweka begani wale vijana wanawasumbua sana na wanatongoza sana wanawake ovyo ule mtaa una vijana machachari kweli

Mwanamke kukosa mchumba au mwanaume ni ungo tusidanganyane Kwa sababu Kuna vijana wa ovyo anaweza kupanga Ata listi ya wanawake kumi peke Ake

Au nyinyi ndio wale January hadi disemba nyumbani kazin kazini nyumbani nyumbani kazini hutaki Ata kwenda coco beach kutembea,tu au sehemu zenye mikusanyiko hutaki

Au nyinyi ndio wale ambao mnataka tall dark handsome men mkishakosa mtaani mnakimbilia kanisani kuombewa

Mim hii kitu SIAMINI kabisa mnamchosha mzee wa watu tu kanisani na kama kweli hamna kabisa wanaume na wachumba basi kutakua Kuna sababu kubwa nyuma ya panzia iliyopelekea kuwafikisha kuanza kuombewa
Nikuambie: Badili jina lako ujiita IDIOT ndilo litakufaa zaidi.
 
Mwanamke ana miaka michache sana ya ku "shine" ambapo hapo wale wajanja ndio hua wanapata waume wa kuwaoa. Wale ambao sio wajanja hudhani kwamba wataendelea ku shine forever so wanatanguliza nyodo, majivuno na starehe. By the time anakuja kushtuka kashagonga 30 na wale vijana wote aliowaletea nyodo wameshaoa wana familia zao ndio kuanza kukimbilia makanisani.
Kweli tupu. Kuna dada anaitwa Zanana Juice Kuna interview yake ipo YouTube alisema mwanamke ni kama bidhaa ina-depreciate umri unavyosonga. Anasema mwanamke peak yake ni 16-25.
 
Kweli tupu. Kuna dada anaitwa Zanana Juice Kuna interview yake ipo YouTube alisema mwanamke ni kama bidhaa ina-depreciate umri unavyosonga. Anasema mwanamke peak yake ni 16-25.
Utadhani wenye miaka 32 hawaolewi

Umri wowote mtu yoyote anaoa na kuolewa

Na kudumu kwny ndoa haijalishi umeingia na miaka mingapi

Tena zinazodumu ni za waliokomaa kiakili sio watoto wa huo umri
 
Back
Top Bottom