Wanawake mnaopenda wanaume wenye pesa

Wanawake mnaopenda wanaume wenye pesa

Mbona huu wimbo umewekwa on replay humu?? Hamuuchoki?!

Wanawake washasema hawatupendi wanaume masikini ndo basi tena ishakula kwetu.
 
Uliyosema ni kweli upendo wa bure upo ila hela ikiwepo sio mbaya
Hakuna upendo wa bure ila upo upendo wa dhati ambao manufaa yake huwezi yaona leo kama anayekupenda humpendi na ukaamua kuwa nae hivyo hivyo tu au kwa kimombo wanasema Just Go with It.
 
Japo maisha siyo kutesa kila siku, ila pesa ndiyo kila kitu...

Pesa inapendwa na kutafutwa na kila mtu wanawake kwa wanaume...

Wanawake kupenda kuolewa na wanaume wenye pesa ni sababu hawajaumbwa kuhimili mateso ya umasikini...



Cc: mahondaw
 
Naomba kuuliza swali,

Wanawake mnavyotaka kuolewa na wanaume wenye pesa na maisha yao mliskia wapi labda wanaume wanataka Broke B!tches?
ndo kina nani hao broke B!tches? mimi kusema ukweli napenda loooh
 
mna hela gani mafala nyie? mtaji wenu ni vibamia tu na ndo maana wengi wenu mnapumuliwa tu kama sisi tumekuwa wote walilia vibamia.
 
Yaani mtu akitaka blouse akatoe maku, akitaka sket akatoe maku, akitaka lotion akatoe maku, akitaka wigi akatoe maku, akitaka ndewele akatoe maku!! Mpaka huyo mtu anakuja kuolewa huko chin kutabaki kitu kweli!!!??
kutakua kama dekio la mochwari
 
Si kweli...mimi wakati nachumbia mke wangu sikujua lolote na nilitaka kumtimua alipokimbilia kwangu kabla hata sijajitambulisha kwao japo kwa barua kumbe binti alikuwa analazimishwa aozeshwe ka mdogo wake na M'bunge mmoja hivi kwa wakati ule na kwa sasa ni waziri, lakini baada ya kumdadisi vizuri akaja kunambia ukweli ikabidi niwe mpole tu maana nami sikuwa naamini katika mapenzi ya dhati kwa wakati ule.
Upendo wa dhati upo sana na ukimpata anayekupa upendo huo mpende hata kwa kujilazimisha faida yake utakuja iona mbele ya safari.
point nzito sana hii
 
Hizi ni mada za wanaume suruali na masikini...mwanaume kamili hawezi kuandika upuuuzi kama huu
 
Hayo mambo huyawezi....waachie akina dai wenye hela zao.
 
Huku kitaa sasa hivi hali imekuwa mbaya sana wanalaani j.f inawaharibia madili yao.... Vidume siku hizi vimeshtuka wanaachika balaa.
 
Kama kijana humpi mwanamke wako pesa jua kwamba kuna mwenzio anatoa ...... mada closed
 
Back
Top Bottom