Wanawake mnaopenda wanaume wenye pesa

Wanawake mnaopenda wanaume wenye pesa

Hatujawah kusikia popote
Tunapenda tu
Alafu na nyie mnavyotaka kuoa wanawake wazuri ukimuona katupia kapendeza unasema mke cndo huyu unadhani wanapendezeshwa na majani eeeh

Sasa mbona tunawaoa bila shida yoyote? Tena mzee anawapiga wauza unga na wapiga deal ndio kabisa. Lazima heshima itarudi tu
 
Japo maisha siyo kutesa kila siku, ila pesa ndiyo kila kitu...

Pesa inapendwa na kutafutwa na kila mtu wanawake kwa wanaume...

Wanawake kupenda kuolewa na wanaume wenye pesa ni sababu hawajaumbwa kuhimili mateso ya umasikini...



Cc: mahondaw


haha my king amekariri huyo ndomana. Thanks God for Smart911 wangu.




Smart911 zemutumukubwa
 
Ila ukiona kwako kafata pesa ipo sehem anaenda hakuna pesa bali anaenda kufikisha kileleniiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom