Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Kwamba vipigo vyote vinavyoleteleza mauaji kwa wanawake vinatokana na kufumaniwa au kucheat?? Au matukio haya yameanza siku hizi??? Yapo tangu enzi ndo vile hakukuwa na mitandao

Kila mtu atumie kifanyio chake kadri roho wa bwana atakavyomuongoza,, wakianza sie tunamaliza

Nimependa kapara ka mwisho kamenibariki
 
Maumivu yako nayaona,, hii tahadhali mkeo, dada, shangazi, mama zako umewapa huko au umeanzia huku tu?

Kwani hamna wanaume wanauawa sababu ya kufumaniwa na wake zao?
Je mwanaume ni halali achepuke ila haramu kwa mwanamke?

Je unajua adhabu wanazopewa wanaume wenzio wanaofumaniwa na wake zao??

Maswali ni mengi jibu hayo kwanza


😂😂😂 ndo maana nilikuita😂😂😂
 
waleleeeee
Wanajionaga wao wana mioyo laini ila yetu ina mifupa eh

Wake zao wakichepuka watafute sababu maana wanawake wengi wanachepuka 'kwa sababu' wachache mno wanaochepuka pasipo sababu

Hivi huyo marehemu Naomi ingetokea akapona kipigo kisichukue uhai wake, asingechepuka??? Mtu kosa ni la mume kaishia kupigwa mpaka kufa!!
 
Mmmh is this crying kapeace ?

Anyway mimi nimetoa angalizo, na bahati nzuri mimi sijawashauri muache kuchepuka... Instead nataka mnaochepuka mjihakikishie kwanza usalama wenu, you never know
Wewe nikichepuka inakuuma nini?? Kwamba nisife ili?? Unanijua!! Tuache hilo

Unataka nikuonyeshe kilio chako!!!

Jisome comments zako kuanzia juu hapo mpk comment ya 50,,, kuandika hivyo means nimekukagua,, mkeo alikukosea lakini sio wake wote hatuna adabu kwa waume zetu kufikia hatua ya kula kwa jirani nikarudi na toothpick ilhali home kuna maharage,, tumeelewana nadhani
 
Duh umechukulia very personal aseeeh, hakukuwa na sababu ya kummention mama yangu.

Hakuna mahali nimeandika wanaume kuchepuka ni halali na wala hakuna mahali nimeandika wanawake mnaochepuka muache kuchepuka.

Hebu tulia kidogo unisome halafu utanielewa, ukishindwa basi tena nitashindwa kujibu vitu nje ya mada husika.
Labda sijui kusoma au uelewa wangu ni mzito!!! Wadada huko juu wameuliza kuwa je hii tahadhali haihusu wanaume!!! Au nao hawajaelewa

Bandiko linashutumu wake tu pasipo waume,,, na sie wake sasa tunakujibu hoja yako
 
Sio kweli.
Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.

Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
 
Binafsi siwezi kwenda jela kisa Kima mmoja hlf niache watoto wangu, wazazi wangu, ndugu zangu, marafiki zangu na nchi yangu ikiteseka..... Kuna namna nyingine nyingi ya kudeal na hivi vitu.
Sasa hii roho ambayo inakusimamia kuogopa jela na kukwepa wazazi ndugu na wanao wasiteseke ndo ulitakiwa uwajulishe wanaume/waume wenzio maana bandiko lako lote kiini chake kipo hapa kwenye hii comment
 
Wewe nikichepuka inakuuma nini?? Kwamba nisife ili?? Unanijua!! Tuache hilo

Unataka nikuonyeshe kilio chako!!!

Jisome comments zako kuanzia juu hapo mpk comment ya 50,,, kuandika hivyo means nimekukagua,, mkeo alikukosea lakini sio wake wote hatuna adabu kwa waume zetu kufikia hatua ya kula kwa jirani nikarudi na toothpick ilhali home kuna maharage,, tumeelewana nadhani


Nyie naona mnashare habari zenu za ndoa hahqhqa jamaa kavurugwaa...hahaa kuja na toothpick hom mbaya sanaaaaa
 
Nipo tofauti sana na unavyodhani, na nilichomaanisha ni tofauti sana na ulivyoelewa... Ila mawazo tofauti ni ruksa, na utamu wa jambo ni kuwaza tofauti tofauti
Umejisoma kwenye ukurasa wako lakini,,, haya maumivu zako kwa wake wachepukaji sio kwenye mada hii tu, yaani unaumizwa sana hii kitu, na sio vibaya kuumia ila kuumia ukatoa conclusion zako za kushutumu wake tu bila kutaka kujua sababu ndo sio sahihi

Yaani ujue niko na mengi ya kukuuliza kuhusiana na hii hoja yako lakini ngoja niishie hapa maana ushaanza kulalamika nakuattack personal mara uko tofauti

Sasa km wewe uko tofauti mi ntajuaje humu zaidi tu nikusome mwandiko!!! Kama ambavyo wake za watu humu wanavyoandika ndivyo na huko waliko wapo tofauti,,

tahadhali hii uitoe mpaka huko unakoishi maana ni watu unaowafahamu ni rahisi zaidi wao wakiuawa ukaumia kuliko humu,,

Asante kwa onyo
 
Nyie naona mnashare habari zenu za ndoa hahqhqa jamaa kavurugwaa...hahaa kuja na toothpick hom mbaya sanaaaaa
Yaani unanawa na sabuni unasukutua na kinywa ndo unarudi ndani

Unafikiri tunafahamiana hata??? Labda kama ID nyingine lakini mkague uone mtiririko wake na mada zake nyingi anazopenda kuchangia,,, then rudi hapa
 
Yaani unanawa na sabuni unasukutua na kinywa ndo unarudi ndani

Unafikiri tunafahamiana hata??? Labda kama ID nyingine lakini mkague uone mtiririko wake na mada zake nyingi anazopenda kuchangia,,, then rudi hapa

ahahahhahahhaa.....wooozaaa!yaan nashanhaa sana wenyew kinavyowauma tukichepuka..washindww na kulegea
 
Kupigwa ukafa sio mpaka mwanaume akufumanie hili ndo wazo nalotaka alitoe kabisa watu wamepigwa wakiwa wajawazito,, huyo nae alifumaniwa, mtu amerudi usiku umechelewa kufungua mlango au umeuliza maswali yako ya wivu ni kipigo, umelumbana na nduguze wa kike akirudi ni bakora,, tena hizi kesi ni nyingi mno na wapo wanaofariki humo lakini kwa vile maiti haiongei basi ndo hivyo wauaji hubambikiza shutuma za kuchepuka kwa marehemu kama aina ya kujitetea ionekanw marehemu alikuwa na hatia
ahahahhahahhaa.....wooozaaa!yaan nashanhaa sana wenyew kinavyowauma tukichepuka..washindww na kulegea
 
Back
Top Bottom