Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Hamna kitu kinaitwa kuchepuka kwa mwanaume,anayechepuka ni mwanamke mwanaume anaenda kwa mke mwenzio hachepuki.mwanaume ni wa wote mwanamke ni wa moja.Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.
Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
List ya wake za watu wanaochepuka
Nadhani amesisitiza wanawake kwasababu case study wao ndio wameuawa.ningelielewa zaidi wangehusishwa na wanaume
Nadhani amesisitiza wanawake kwasababu case study wao ndio wameuawa.
Correcection ni nini bibiePoint of correcection:
Mwanaume wa kigamboni ndio alikuwa mchepukaji
Mwanaume hachepuki.Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.
Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
Hatari sana mwanaharakati wa kujitegemea kutetea haki sawa katika mahusiano na ndoaooppps nilimsahau mama lao😂😂😂😂
Marianah
So sadHabari,
Nachukua fursa hii kuwatahadharisha wanawake wanaochepuka wapunguze kujiamini kulikopitiliza kuwa hata wakifumaniwa hakuna kitakachotokea.
Kwa matukio ya sasa hivi na visasi inaonekana wanaume wameingiwa na roho za kikatili na kishetani.
Matukio kama....
1. Gunia 2 za mkaa huko Kigamboni
2. Yule dogo wa pwani kumchoma kisu mwanamke wake.
3. Yule jamaa wa musoma kucharanga mke na watoto
4. Kuna tukio la jamaa aliyechinja mke
5. Kuna huyu mwamba hapa chini aliyekula miaka miwili kwa kuua bila kukusudia nk.
Hivi Ina maana sasa hivi wanaume hawataki kutoa talaka tena?
Kama wahanga ni watoto, hapa mbona watoto wanabakia yatima duniani.
Wachepukaji muwe makini sana, yaani extra careful na wanaume mzikatae hizo roho za mauti maana mwisho wa siku ni watoto ndiyo wanataabika zaidi.
Yaan sasa hivi ni kuhakikisha mmelala umeficha kisu,mkaa nunua wa kupima akileta gunia kataa
Khaaa... Chattle nayo ni pwani? Au kwakuwa anko kawajengea bandari ya kisasa?Yaani mie mtu wa pwani nimekuwa mchaga?
Ha ha ha ha Dinazarde you made my day.... Ungekuwa karibu hapa ungekula wine, Nimecheka sana
Mi mwenyewe sijui nimeandika tu mkuuCorrecection ni nini bibie
usisahau kuleta mrejeshoMkuu kwani unafikiri hayajanikuta basi?
Ipo siku nitaleta ushuhuda wangu humu, lkn km ulivyosema hakika inauma ila usipokuwa strong akilini na kwenye moyo utaacha wanaokupenda wengi wakitaabika kisa Kima mmoja tu.
hhhhhh eti wine vpee ww ebu kalale.Eee ukiacha vitu hivyo utachinjwa ukiwa umelala au kuchomwa
Sasa tunahakikisha tunaficha vitu vyote vinavyohatarisha usalama wetu
Winevepeee
![]()