Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

.
Halafu hamnaga hata upelelezi kwenye hilo, ni moja kwa moja mortuary.
Na baada ya hapo tunalia mpaka macho yanavimba
Wanaume hawajui tuu, wanapaswa watuheshimu sana yaani yaani sana maana ukatili wetu hadi shetani huwa anaogopa anahisi kuna shetani mwingine zaidi yake.
Yaani unalia hadi unatamani udumbukie kaburini na wewe, waache tu wajifanye wanunuzi wazuri wa mkaa.
 
Yaani unalia hadi unatamani udumbukie kaburini na wewe, waache tu wajifanye wanunuzi wazuri wa mkaa.
Wenye uwezo huo ni wachache sana.. nyuma ya keyboard mtu anaweza andika chochote kuchangamsha genge hapa.. kuondoa uhai wa mtu si kazi rahisi kama tunavyofikiri ndo mana wengi hujikuta wamefanya hivo bila kukusudia...
 
Wenye uwezo huo ni wachache sana.. nyuma ya keyboard mtu anaweza andika chochote kuchangamsha genge hapa.. kuondoa uhai wa mtu si kazi rahisi kama tunavyofikiri ndo mana wengi hujikuta wamefanya hivo bila kukusudia...
Jipeni moyo.
 
Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.

Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
Mwanaume hachepuki..
 
Habari,

Nachukua fursa hii kuwatahadharisha wanawake wanaochepuka wapunguze kujiamini kulikopitiliza kuwa hata wakifumaniwa hakuna kitakachotokea.

Kwa matukio ya sasa hivi na visasi inaonekana wanaume wameingiwa na roho za kikatili na kishetani.
Matukio kama....

1. Gunia 2 za mkaa huko Kigamboni

2. Yule dogo wa pwani kumchoma kisu mwanamke wake.
3. Yule jamaa wa musoma kucharanga mke na watoto
4. Kuna tukio la jamaa aliyechinja mke
5. Kuna huyu mwamba hapa chini aliyekula miaka miwili kwa kuua bila kukusudia nk.

Hivi Ina maana sasa hivi wanaume hawataki kutoa talaka tena?

Kama wahanga ni watoto, hapa mbona watoto wanabakia yatima duniani.

Wachepukaji muwe makini sana, yaani extra careful na wanaume mzikatae hizo roho za mauti maana mwisho wa siku ni watoto ndiyo wanataabika zaidi.
Asante kwa kutukumbusha eenh
 
Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.

Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
Tutajirekebisha shem
 
Back
Top Bottom