Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

It is not about me manengelo , hapa mimi naangalia tu ukatili mnaofanyiwa ulivyoshamiri. Binafsi siungi mkono aseeeh, maana mwisho wa ukatili huu ni watoto kuwapoteza Baba na Mama
Pia ndugu, marafiki na kazini kwenu unapotoa huduma kupoteza mtu muhimu.. Sasa kama hapa siyo ubinafsi wa kujifikiria nafsi yako mmoja tu.

Huu ukatili hapana, tutafute njia nyingine
Waambie bas wenzako waache huo ujinga maana tukiwageuzia kibao mtateketea kama kuku
 
Just be extra careful.... Tumetofautia.

Some tupo strong kwenye heart and mind,,,, no matter how hard we got hit lkn bado brain na mioyo itaendelea kufanya kazi kwa ufanisi.... Some tupo very weak and fragile kiasi kwamba when we got hit tunavunjika vunjika kiasi kwamba zile cheche haziangalii moto utakaowaka unaweza kuleta madhara kiasi gani.

Just be extra careful, usalama kwanza ndiyo muhimu
Nimekupata
 
Huu muda unaotumia kushangaa, utumie kuwashauri baadhi ya wenzako walioreckless kujiprotect zaidi.... Chepuka kwa raha zako, lkn jilinde vyema kuliko kujiaminisha kuwa ukifumwa nothing will going to happen. Siyo uhakika, binadamu tumetofautiana


Best yangu umeamka na mzuka mbayabsana ..naamini unajua mishe zangu ..unanijua vilivyo..huo muda wa kuchepuka mie ht sina....hii mada hainihusu...ww nipe deal basi ..mahusiano yalishanishinda mie😅
 
Hamna haki, nimetoa tahadhari upande mmoja kwasababu naona vitendo vya kikatili vimeelekezwa upande mmoja na bahati mbaya huo upande nao umejisahau kwenye kujiprotect (kujiamini kumekuwa mwingi sana)

Just be careful, possible waliokuzunguka wanakuhitaji zaidi kuliko huyo unayemsaliti.


Nyie michepuko ndo mnafanya wanajiamini sana💃💃 acheni hizo
 
Okay okay.... Lakini na wanaume wawe makini Pia sikuhizi wanawake hatuna huruma ni vile ukitusumbua tunakuuwa taratibu yaani watu hawajui kama umeuwawa ila ndo ushakufa hivyo


umesema kweli dear sie ndo wabaya sana tu
 
Wanaume ndio wanaoongoza kuchepuka husiseme wanawake wawe makini sema wachepukaji wote makini.
Wanawake wengi sana wanasalitiwa na waume, wapenzi na wachumba wao.
Ni swala la muda tu visa vya wanawake kuwafanyia unyama waume zao na sio kwamba visa vya namna hio havipo vipo vingi tu.
 
Ukifanya hivi hakikisha inaenda undetectable ili ubakie kulea watoto vyema... Ila as long as haupo sure better uachane na ukatili upitie njia nyingine.

Siyo vyema kushindania ukatili, mwisho wa ubaya ni aibu siku zote
Hata ikijulikana haina tatizo maana na nyie hamjali kwenda jela, watoto watalelewa na ulimwengu
 
Kwamba vipigo vyote vinavyoleteleza mauaji kwa wanawake vinatokana na kufumaniwa au kucheat?? Au matukio haya yameanza siku hizi??? Yapo tangu enzi ndo vile hakukuwa na mitandao

Kila mtu atumie kifanyio chake kadri roho wa bwana atakavyomuongoza,, wakianza sie tunamaliza
Amen!
 
Huu muda unaotumia kushangaa, utumie kuwashauri baadhi ya wenzako walioreckless kujiprotect zaidi.... Chepuka kwa raha zako, lkn jilinde vyema kuliko kujiaminisha kuwa ukifumwa nothing will going to happen. Siyo uhakika, binadamu tumetofautiana
Maumivu yako nayaona,, hii tahadhali mkeo, dada, shangazi, mama zako umewapa huko au umeanzia huku tu?

Kwani hamna wanaume wanauawa sababu ya kufumaniwa na wake zao?
Je mwanaume ni halali achepuke ila haramu kwa mwanamke?

Je unajua adhabu wanazopewa wanaume wenzio wanaofumaniwa na wake zao??

Maswali ni mengi jibu hayo kwanza
 
Back
Top Bottom