Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Ijapokuwa imekuwa ikishangaza takwimu za talaka kuwa juu sana kwa nchi zilizoendelea lakini faida yake ni kuondokana na hayo majanga!
Hili lingewezekana ingekuwa sahihi zaidi lkn kwakuwa kila mtu ana sababu zake, basi umakini uzingatiwe.
Jeshi la maangamizi, hata hawa ningependa wachukue tahadhari wasijiamini sana kulikopitiliza, 😀 😀 😀
Ukatili upo, na wao wasijekuwa mfano



kikosi cha maangamizi hicho mkuu kinaitwa fanya fujo uone


dead
Hata ikijulikana haina tatizo maana na nyie hamjali kwenda jela, watoto watalelewa na ulimwengu
Hamna kitu kinaitwa kuchepuka kwa mwanaume,anayechepuka ni mwanamke mwanaume anaenda kwa mke mwenzio hachepuki.mwanaume ni wa wote mwanamke ni wa moja.
Hatari sana mwanaharakati wa kujitegemea kutetea haki sawa katika mahusiano na ndoa
Naona alikusahau kwenye list konki kabisa ya wanaharakati dhidi ya uonevu wa wanawake..mkuu umenianzaje?
Nipo mkuu niende wapiNaona alikusahau kwenye list konki kabisa ya wanaharakati dhidi ya uonevu wa wanawake..
Nikafanya kuulizia uko wap?
Endelea kutema sumu jamii ibadilike ili tuwe na kizazi chenye furaha na mahusiano yenye afyaNipo mkuu niende wapi
Endelea kutema sumu jamii ibadilike ili tuwe na kizazi chenye furaha na mahusiano yenye afya
Daaah madam utanifanya nionekane snitch kwa wanaume wenzaungu, ishu ni hivi nyie endeleeni kutema sumu mara nyingi wanaume huwa hatukubali hata dawa ikiingia ila tunabadilika kimya kimya..Jamii ibadilike? Mbona humu mwenzio najiona kama napoteza muda tu wanaume mlivyo na jeuri na viburi kwa wanawake mnakubaligi tuwaambie ukweli ninyi?
Sidhani kama kuna anayefuata haya wanawake tunayoyaandika humu maana kila mtu anaona jinsia yake ndo iko sawa japo kiuhalisia wanaume ndo mnakosea sana kuliko sisi
Nisingeona andiko lako humu ningelalama uzi ufungweUngeanza na neno Mkurugenzi halafu hayo mengine ndo yafuatie
Yaani hawa wanawake wafanyakazi balaa ukitaka pambuchi anakwambia kachoka siku ya1..kachoka siku 2 .kachoka siku 3.kachoka siku ya 4. kachoka hivi kwannn mwanaumwe asijiongeze asilimia kubwa chanzo ni wanawake tuJust to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.
Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?

wow, just wow.
Daaah madam utanifanya nionekane snitch kwa wanaume wenzaungu, ishu ni hivi nyie endeleeni kutema sumu mara nyingi wanaume huwa hatukubali hata dawa ikiingia ila tunadilika kimya kimya..
Yani mkisubiri tukubali hoja zenu mtakata tamaa we normally admit indirectly the same when we want to apologize..