Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Nawaasa tu wanaume wezangu kama unajijua unachepuka mpaka mkeo agundue na kuumia vya kutosha.ujue tu mkeo hayuko salama huwa nao wanalipiza kimya kimya na hutakaa ujue mpaka uingie kaburini.
Very true
 
Naomba nimuite ArchAngel aje ausome huu ukweli mchungu
Nawaasa tu wanaume wezangu kama unajijua unachepuka mpaka mkeo agundue na kuumia vya kutosha.ujue tu mkeo hayuko salama huwa nao wanalipiza kimya kimya na hutakaa ujue mpaka uingie kaburini.
 
Yaan sasa hivi ni kuhakikisha mmelala umeficha kisu,mkaa nunua wa kupima akileta gunia kataa

Daah kuna nyumba moja niliingia visu vyote hufungiwa nje...
🤣🤣
Nyumba zina tabu sana
Kuachana nako ni kugumu

Wacha tuchepuke polepole
Ukinikamata ukaniua basi
Itakuwa ndo kifo changu kilipangwa hivyo...
 
In a sane society the appropriate penalty for adulterous wife is public execution bila mjadala.
 
Kwani nimebisha? Nilisema kuwa uovu ni uovu tu, hakuna justification ya kuhalalisha maovu whether anafanya mwanaume au mwanamke.

Dada inaonekana unapenda ligi sana wewe asante kwa mention.
haya ndo kwanza unayasema leo hakuna popote ulipowahi kuyasema labda kama ulikuwa unamwambia mtu mwingine na siyo mimi halafu wala hata sipendi ligi ila basi tu wewe ndo mbishi na nilikuita ili uje ubishe na hapa
 
haya ndo kwanza unayasema leo hakuna popote ulipowahi kuyasema labda kama ulikuwa unamwambia mtu mwingine na siyo mimi halafu wala hata sipendi ligi ila basi tu wewe ndo mbishi na nilikuita ili uje ubishe na hapa
mkuu popote ulipo agiza balimi kreti zima nitalipa, najua ulikuwa unanisubiri nijae kwenye 18 zako
 
Laana ya uchepukaji ni kupotea kwa heshima. Hapo yanayofuata ni mambo ya hatari sana. Ladies & Gentlemen, be wise!
 
Daah kuna nyumba moja niliingia visu vyote hufungiwa nje...
🤣🤣
Nyumba zina tabu sana
Kuachana nako ni kugumu

Wacha tuchepuke polepole
Ukinikamata ukaniua basi
Itakuwa ndo kifo changu kilipangwa hivyo...

Acha tu shogaa
 
Back
Top Bottom