Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Habari,

Nachukua fursa hii kuwatahadharisha wanawake wanaochepuka wapunguze kujiamini kulikopitiliza kuwa hata wakifumaniwa hakuna kitakachotokea.

Kwa matukio ya sasa hivi na visasi inaonekana wanaume wameingiwa na roho za kikatili na kishetani.
Matukio kama....

1. Gunia 2 za mkaa huko Kigamboni

2. Yule dogo wa pwani kumchoma kisu mwanamke wake.
3. Yule jamaa wa musoma kucharanga mke na watoto
4. Kuna tukio la jamaa aliyechinja mke
5. Kuna huyu mwamba hapa chini aliyekula miaka miwili kwa kuua bila kukusudia nk.

Hivi Ina maana sasa hivi wanaume hawataki kutoa talaka tena?

Kama wahanga ni watoto, hapa mbona watoto wanabakia yatima duniani.

Wachepukaji muwe makini sana, yaani extra careful na wanaume mzikatae hizo roho za mauti maana mwisho wa siku ni watoto ndiyo wanataabika zaidi.
Huyo Jamaal sijui kaponaje kifungo cha maisha jela
 
Khaaa... Chattle nayo ni pwani? Au kwakuwa anko kawajengea bandari ya kisasa?
Hujui kama uncle anahamishia bahari kule??? Soon kutakuwa pwani kushinda zanzibar
 
Habari,

Nachukua fursa hii kuwatahadharisha wanawake wanaochepuka wapunguze kujiamini kulikopitiliza kuwa hata wakifumaniwa hakuna kitakachotokea.

Kwa matukio ya sasa hivi na visasi inaonekana wanaume wameingiwa na roho za kikatili na kishetani.
Matukio kama....

1. Gunia 2 za mkaa huko Kigamboni

2. Yule dogo wa pwani kumchoma kisu mwanamke wake.
3. Yule jamaa wa musoma kucharanga mke na watoto
4. Kuna tukio la jamaa aliyechinja mke
5. Kuna huyu mwamba hapa chini aliyekula miaka miwili kwa kuua bila kukusudia nk.

Hivi Ina maana sasa hivi wanaume hawataki kutoa talaka tena?

Kama wahanga ni watoto, hapa mbona watoto wanabakia yatima duniani.

Wachepukaji muwe makini sana, yaani extra careful na wanaume mzikatae hizo roho za mauti maana mwisho wa siku ni watoto ndiyo wanataabika zaidi.
Kuchepuka ni dalili mojawapo kwamba hakuna UPENDO
 
Hhhahaa Dina ww sikuwez..nimecheka jamam

Mamaaa sasa ukiona magunia ya mkaa uneletewa uzaa harakaa ,
Hakikisha kabla hujalaa visu vyote umeficha vyenye ncha kali vyote fungia sehemu funguo unaficha mpaka unajifichia mwenyewe

Maana haya mambo ya kuishi na adui yako kazi kweli na hapo hujui ni kama adui

Au we una ushauri mwingine
 
Tatizo sio kuchepuka, tatizo Upendo umepoa siku hizi
 
Mamaaa sasa ukiona magunia ya mkaa uneletewa uzaa harakaa ,
Hakikisha kabla hujalaa visu vyote umeficha vyenye ncha kali vyote fungia sehemu funguo unaficha mpaka unajifichia mwenyewe

Maana haya mambo ya kuishi na adui yako kazi kweli na hapo hujui ni kama adui

Au we una ushauri mwingine


😂😂😂😂 Nacheka lakini kuna kitu umenitouch sana sana..basi tu kwakwel ndoa hizi
 
Dunia ya leo kila mtu anajua, kila mtu anaweza, kila mtu anashauri....yaani hakuna ambacho hatujui, na huu ujuaji unazidi kutumaliza sisi binadamu.

Ni kweli kuwa wanawake wapo vulnerable, wapo weak kuliko wanaume japo katika kuua hata mwanamke anaweza kufanya makubwa tu. Kuchepuka ndio sababu kubwa watu kuuana.

Sad!!!
 
Habari,

Nachukua fursa hii kuwatahadharisha wanawake wanaochepuka wapunguze kujiamini kulikopitiliza kuwa hata wakifumaniwa hakuna kitakachotokea.

Kwa matukio ya sasa hivi na visasi inaonekana wanaume wameingiwa na roho za kikatili na kishetani.
Matukio kama....

1. Gunia 2 za mkaa huko Kigamboni

2. Yule dogo wa pwani kumchoma kisu mwanamke wake.
3. Yule jamaa wa musoma kucharanga mke na watoto
4. Kuna tukio la jamaa aliyechinja mke
5. Kuna huyu mwamba hapa chini aliyekula miaka miwili kwa kuua bila kukusudia nk.

Hivi Ina maana sasa hivi wanaume hawataki kutoa talaka tena?

Kama wahanga ni watoto, hapa mbona watoto wanabakia yatima duniani.

Wachepukaji muwe makini sana, yaani extra careful na wanaume mzikatae hizo roho za mauti maana mwisho wa siku ni watoto ndiyo wanataabika zaidi.
Waambie wote waume kwa wake waache kabisa kuchepuka.Kuchepuka kwa makini ndio mdudu gani?.
 
Wachepuke kwa tahadhari, wasijiamini kupitiliza.... Waelewa wameshanielewa

Siyo wote wanaopata vipigo wamechepuka. Wengine ni kwa ajili ya kupigania haki zao katika ndoa au familia zao. Neno kuchepuka wanaume walio wengi wanalitumia kama mwavuli ili kuficha ukweli wa vyanzo vya ugomvi katika familia nyingi. Asilimia kubwa ya akina mama wanaochepuka ndoa zao zinakuwa machoni kwa watu ndani walishatengana siku nyingi. Mpaka mwanamke aamue kuchepuka maji yanakuwa yamezidi unga. Ingawa wapo ambao kuchepuka ni hulka tu kwao.
 
Yaani wewe 😀 😀 😀 😀

Wewe Chepuka tu Atoto lkn chukua tahadhari daima usikamatwe, maana ukikamatwa ni different story kwenye mambo mengi sana aseee na zaidi inategemea na huyo mtu wako unayemsaliti ama ana roho na akili nyepesi au ana strong heart and mind asiwaze kukudhuru
Tahadhari ichukuliwe kwa wote jaman sabb hata wanawake pia wakipata maumivu makali huwa wanalipiza

Wapo wanaume wamepata maradhi mpaka kifo chanzo Ni wake zao sema inakuwa indirect huwezi kumhusisha mkewe moja kwa Moja

Mnatiaga sana huruma nyie wanaume tuheshimianeni tu jamani kama ambavo huwezi kuhimili maumivu mwenza wako anapoenda kula kwa jirani hata sisi pia hatuwezi kuhimili basi tunajikaza tu haswa ukiangalia watoto
 
Tahadhari ichukuliwe kwa wote jaman sabb hata wanawake pia wakipata maumivu makali huwa wanalipiza

Wapo wanaume wamepata maradhi mpaka kifo chanzo Ni wake zao sema inakuwa indirect huwezi kumhusisha mkewe moja kwa Moja

Mnatiaga sana huruma nyie wanaume tuheshimianeni tu jamani kama ambavo huwezi kuhimili maumivu mwenza wako anapoenda kula kwa jirani hata sisi pia hatuwezi kuhimili basi tunajikaza tu haswa ukiangalia watoto

Watoto ni changamoto sana, ila wakati mwingine ni vyema kuchukua maamuzi magumu kabla situation haijawa mbaya kiasi cha kuanza kudhuriana.
 
Kitu ambacho watu wengi ambacho hawakijui hasa wabongo ni kuwa mnapokosana na mpenzi wako unapoamua kuachana nae bila ya yeye kujiandaa kwa wakat huo kuachwa huwa ni adhabu kubwa sana na inatosha sasa kwani ni utake kumzulu na kumuangamiza na mwisho wa siku na wewe hubaki salama kwa maisha yako yote!

Halafu kama mmezaa mnawaathiri na watoto na ndugu wa huyo mpenzi ambao hawana hatia.
 
Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.

Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
Yule jamaa ni katili Sana, Na yupo smart Sana kiasi cha kuamini haya maelezo kuwa eti alichepuka yeye.

Nahisi alisema hivi kutafuta sympathy ili aonekana aliua bila kukusudia.

Yule jamaa ni kifungo cha maisha tu
 
Back
Top Bottom