KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Kila msichana ninayekua nae, baada ya wiki moja mbili ya kufahamiana, utasikia tumbo la hedhi, mara vidonda vya tumbo, mara kipanda uso, miguu inauma, kifua kinabana, mara chango etc.
Ivi kitendo cha nyie kudondoka na kujitokeza kuombewa kwa wingi inaweza ikawa pia ni uthibitisho kuwa mpo gonjwa gonjwa sana?!
Make apo ni kabla ya ndoa, ukishaanza kupata complication za kujifungua itakuaje?
Kwanini msifanye full medical checkup?
Ivi kitendo cha nyie kudondoka na kujitokeza kuombewa kwa wingi inaweza ikawa pia ni uthibitisho kuwa mpo gonjwa gonjwa sana?!
Make apo ni kabla ya ndoa, ukishaanza kupata complication za kujifungua itakuaje?
Kwanini msifanye full medical checkup?