Wanawake mlioolewa njooni tujadili jambo

Wanawake mlioolewa njooni tujadili jambo

maimatha

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
129
Reaction score
162
Swali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza?

Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?

Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na kurudi kawaida?

Naombeni kuwasilisha mada mezani.

1646030434367.png

 
Nikupe pole na pia nikushauri kidogo. Dunia ina mambo mengi, na katika hayo mambo mengi usipende kutaka kuyajua hayo mambo kama hujajipanga kisaikolojia kuyajua, au kuyapokea yale uliyoyataka kuyajua ukweli wake. Mfano mzuri unao, na siri ya kuyasahau hayo mambo ni pale yanapokuja kichwani mwako yaache yaje na wala usipingane wala kuyawekea vikakwazo hayo mawazo, kwasababu reaction yeyote kwa kitu chochote kinatengeneza awareness kwamba kuna force inatupinga sisi na hivyo sisi(mawazo yako) hayana budi kupigana na wewe uliyeyawekea kikwazo.

nikutakie jumapili njema
Sijui kwann sijaelewa
 
Swali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza??
Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?
Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na kurudi kawaida?
Naomben kuwasilisha mada mezan
Mkuu, pole kwa hilo tukio🙄
 
Haya mambo hutakiwi ht kuyatia kichwan...jiweke 50/50 ...kwamba anaweza..lkn pia hawezi.

Sasa wewe jiaminishe mume wangu hachepuki na hatochepuka..siku likikuta jambo unaumia.

Ila ukijiweka katikati...ht stress hupati.. ilimradi nyumban anahudumia vzr....hakutesi...we usiwaze.


Sasa km ndo umegundua kakucheat...hakikisha anajua kwamba umejua ana cheat..kisha endelea na life yako na watoto wako...humo humo ndn.
Hamna kuondoka wala nn.

We jifanye mjinga siku moja muulize mama yako je baba hajawahi kukucheat..usikie majibu yake.

Wanaume hawa waache hivi hivi ukifatilia utaumia mama ..life is short
 
Back
Top Bottom