hapo tupo wengi mtu mzima,
ratiba zote za jahazi na East African Melody zipo hapa!!!!!!!
Wewe unajua taarab au taarabu?
Tafadhali tofautisha hizo mbili
Mi napenda kucheki wanawake vibonge, wenye makalio wakimwaga radhi (wakitingisha na kuchezesha makalio yao)realy nainjoy sana!
taarab ikichanganya utacheza upende usipende.mimi hunikosha hasa,ila ukienda jahazi,ni kama kuna fujo.wanaume kibao kuliko wanawake.ukianza kucheza kwa kujitikisa{unajipa raha mwenyewe}huwa naudhika utakuta mwanamme anakaa nyuma yako kama anakukobelea.