Pepe kale, Defao wameshawahi kucheza taarab.....
Ndio aina ya muziki wanaoweza kuumudu kulingana na ubonge wao kwa kuwa unachezwa taratibu.
Ndio aina ya muziki wanaoweza kuumudu kulingana na ubonge wao kwa kuwa unachezwa taratibu.
sijisikii amani napocheza taarab
Mimi siwezi sema napenda au sipendi, inapotokea wimbo unapigwa huwa nasikiliza bt hushangaa zaidi pale nionapo watu wanachizika kwa nyimbo ambazo kwangu nazichukulia kama nyimbo zisizo na ujumbe wowote, cha kushangaza zaidi, wengi ya wapenzi wa hzi taarabu ni vibonge, kwa kweli najiweka pembeni kwa hili. Hvi LOGIC YA KUNYANYUA VIDOLE JUU WAKATI UNACHEZA TAARABU NI IPI?
Jamani anafanya utundu nani tena?? Si huyu hapa haya tema mate tumchape.......Oh nilijua kama atakuwepo mtu basi itakuwa ni wewe Dena Amsi.
Umesikia lakini vigongo vipya vya mamaa Isha Mashauzi aka jike la Simba linalong'ata aang'h aang'h?
Rindima Rindima Rindimaaaaaa! :music:
sijisikii amani napocheza taarab
Jamani anafanya utundu nani tena?? Si huyu hapa haya tema mate tumchape.......
Ume generalize saana... mimi ni bonge na taarabu sigusi...lol
tamuuuuuuuuuuuu
Asha wewe huupendi huu mziki wa mwambao?
lol..itanibidi nipate kazi ya ziada ya kukupeleka kwenye hiyo miziki,
najua utaipenda one day!!!!
To me Bacha mwambao sounds better... hio naipenda...lol
ila taraabu SIPENDI...
Bacha tupeleke Dubai papasa kinanda haya sasa warudishe....:biggrin1::biggrin1:Jamani tamu, raha??
OK, itanibidi siku moja nikupeleke Travertine,
au Dar West Park, nadhani unaweza ukaburudika vizuri sana,
Kama unaupenda mziki wa mwambao ni aghalabu sana,
kukuta huu mziki wa taarabu unauweka kushoto!!!!!!!
Bacha tupeleke Dubai papasa kinanda haya sasa warudishe....:biggrin1::biggrin1:
:biggrin1::biggrin1::biggrin1:OFF TOPIC: Go reply to your last post... acha kukimbia...