Kosa lake ni kijitangaza kuwa nayo si jambo la ajabu maana ushamba nao unachangia kumfanya mtu aogope wanaumeAnawadanganya watoto wa primary...Halafu jiulize kwa nini ana hasira hivyo..Mana Naona anagombana Na kila anayemchallenge.Sasa nimeamini kweli Ana Bikira mana nasikia Ni wakali Na hawashauriki
TrueWenye nazo huwakuti wakitangaza achilia mbali kusema tu, wacha kupiga watu changa la macho kwanza bikira sio deal siku hizi.
Asante sana.Haya hongera sana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji2] [emoji2] muongooo
Nakwambiia Ni shidaaaaaaHa ha ha haaa bikra anatamka matusi yote
mii nnavo jua mwanamke asie jua dudu anakua na haya japo kiduchu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MAAJABU SABANina 29 sasa
Bora upite tu dada... Maana Ngalikihinja 7: 1 - 3 inasema ...ana heri yule atakayeingia mbinguni akiwa hana bikra wala dhambi ya kusema uwongo, kuliko yule mwenye bikra na dhambi kibao...Ninapita tu jamani
Mwanao hajambo lakini?
Mkuu umenena tena kwa busara na hekima,mi nawaona watoao matus hil group haliwafai kwa ushaur bora wangehamia FB,huko ndiko mahal pawafaapo,Mtu mwenye hekima hawez kutoa matus mbele ya hadhira,ilhal kuna rika tofaut hapa tena wengine tuna heshima zetu hapa,inanikera sana hii kama baadhi ya Watu wanavyokereka ila hawasem ila ni wachache wasemao kama sie,kwa hiyo ni muhim ukimya kuliko kushuka pumbaSamahani kwa wale mtakaokwanzika na maneno yangu japo najua sina lengo la kumkwanza mtu. Humu ndani memba wote naamini ni watu wazima na wenye heshima za kutosha, lakini mtu akileta Uzi wake kama huwezi kuchangia bora unyamaze kuliko kutoa matusi, binafsi nachukizwa sana na matusi na huwa sipendelei kunyamaza pale ninapohisi natakiwa kusema jambo linaloniumiza.
Nimekuwa nafuatilia sana namna tunavyochangia mawazo na ushauri kwa mwenzetu anaehitaji mchango wetu kimawazo. Nashukuru Mungu kuna watu humu wana busara na siku zote hutoa majibu yenye staha njema kabisa na kwa moyo wangu wote huwa napenda kuwapongeza.
Swali hivi matusi kwa jamii yetu ni sehemu ya maadili au malezi mabovu? Lakini pia tukisema malezi bado tutawakosea wazazi wetu maana huenda wazazi waliwajibika ipasavyo ila pear group au bangi na madawa ya kuvuruga akili ndio sababisho? Naomba tubadilike wana JF na kama huwezi kuchangia kwa maneno ya busara sio lazima uchangie. Samahani kama ntakuwa nimewakwaza ila nimeongea kwa nafasi yangu.
Nina 29 sasa
Kweli kabisa wee itunze ivoivo huku uki ichungilia kama ipo salama uendelee kujipongezaWanaume onja onja plus wanawake wasio na bikra ni shiiiidaaaaa
Hivi mkuu mitusi ya mleta uzi nayo umeiona?Samahani kwa wale mtakaokwanzika na maneno yangu japo najua sina lengo la kumkwanza mtu. Humu ndani memba wote naamini ni watu wazima na wenye heshima za kutosha, lakini mtu akileta Uzi wake kama huwezi kuchangia bora unyamaze kuliko kutoa matusi, binafsi nachukizwa sana na matusi na huwa sipendelei kunyamaza pale ninapohisi natakiwa kusema jambo linaloniumiza.
Nimekuwa nafuatilia sana namna tunavyochangia mawazo na ushauri kwa mwenzetu anaehitaji mchango wetu kimawazo. Nashukuru Mungu kuna watu humu wana busara na siku zote hutoa majibu yenye staha njema kabisa na kwa moyo wangu wote huwa napenda kuwapongeza.
Swali hivi matusi kwa jamii yetu ni sehemu ya maadili au malezi mabovu? Lakini pia tukisema malezi bado tutawakosea wazazi wetu maana huenda wazazi waliwajibika ipasavyo ila pear group au bangi na madawa ya kuvuruga akili ndio sababisho? Naomba tubadilike wana JF na kama huwezi kuchangia kwa maneno ya busara sio lazima uchangie. Samahani kama ntakuwa nimewakwaza ila nimeongea kwa nafasi yangu.