Wanawake mabikra tukutane hapa

Kisaikolojia huyu hayuko sawa hebu wanaume wa jamii forum mshughulikieni hadi mumtatue marinda ajue hapa sio facebook pa kuleta ujinga na vi threads vya ajabu watu tupo kutoa ushauri sio kufanya michezo ya kitoto wapeleke insta au fb.
Upo kidunia zaidi
 
Mmmmh Galatia how old are u?
 
Tanuru la moto linakuhusu kwa kauli zako kuiona mbingu ni ndoto !

Take care akupigae shavu la kushoto mgeuzie la kuume!
 
Kama utakuwa bikra wewe kweli ntaaamini hakuna mwanamke asiye bikra duniani..keep my words
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza

Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Karibuni
Aisee! Umejitahidi sana. Hongera
 
[emoji23] [emoji23] kila mtu ana staili yake ya kujitangaza kwa mfano hapa mimi naona umejitangaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…