Don't be so negative. Inawezekana anataka kuwatia moyo walemavu wengine kwamba oneni mwenzenu anavyoyajua mambo pamoja na kwamba naye ni mlemavu. You could also think from that angle.
Don't be so negative. Inawezekana anataka kuwatia moyo walemavu wengine kwamba oneni mwenzenu anavyoyajua mambo pamoja na kwamba naye ni mlemavu. You could also think from that angle.
Chadema haipapasi kuchagua wabunge. Inaangalia kichwa kwanza kabla ya mambo mengine. Kamanda Mbowe alishafafanuo suala hilo wakati fulani manake vigazeti vya mafisadi vilianza kueneza sumu kwamba viongozi wa cdm wanafanya upendeleo kwenye nafasi za ubunge kupitia viti maalum.
Mimi naamini tuki-pick randomly wabunge wa viti maalum wa ccm na cdm na tukawapima uelewa wao katika masuala mbalimbali ya nchi, wabunge wa ccm watatia aibu. Hii ni kwa sababu wengi wao wamepata nafasi hizo kishkaji tu. Wanapeana kama zawadi baada ya kazi fulani.... Naogopa kutaja aina ya kazi kwa sababu kuna watoto huwa wanapitia hizi threads.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.