Wanawake Lindeni Afya Zenu

Wanawake Lindeni Afya Zenu

Wanawake wengi sana ni wagonjwa wa magonjwa ya zinaa, wenyewe wakijisikia homa kidogo wanakimbilia kutibu UTI... Bin'adamu hampo salama
Nikweli mkuu nikuwa nao makini sana,, sisi tukipata hata gono siku nne nyingi 🤓
 
Niko kijijini huku kuna kibaa mshezi mwenye hiki kibaa ameleta mabamedi saba kwa ajili ya kujiuza unajiuliza hawa wanakijiji hata kuoga hawaogi sijui hawa mama zetu wanapata raha gani.
Maoni yangu nadhani wanawake wa kiafrika kuna jambo linamiss kichwani mwao
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom