min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 45,962
- 126,394
Bwashee kwa inavyoonekana wewe umeoa bora liende tu ,😁😁 sio kwa ubaya tatizo langu nafuatilia kila details🤣Hata uoe malaika, swala la kula kisela lipo pale pale mangiii🤣
Bwashee kwa inavyoonekana wewe umeoa bora liende tu ,😁😁 sio kwa ubaya tatizo langu nafuatilia kila details🤣Hata uoe malaika, swala la kula kisela lipo pale pale mangiii🤣
Mangiii, nimecheka sana aisee!!Bwashee kwa inavyoonekana wewe umeoa bora liende tu ,😁😁 sio kwa ubaya tatizo langu nafuatilia kila details🤣
Ni kweli kabisa bwashee ila mnavyo dili na mimi kitu mnakosea nikujua mna dili na genius 🤣🤣🤣Mangiii, nimecheka sana aisee!!
Nimeoa kwa sababu maalumu, sio bora liende mtaniii...
Fanya majiniaz tuko wawilI tu humu.Ni kweli kabisa bwashee ila mnavyo dili na mimi kitu mnakosea nikujua mna dili na genius 🤣🤣🤣
Mimi sijaoenda kuwa hivyo , imejileta tu😅
Hahaha wawepo wote , wewe una akili gani ya peke yako , kuweza kunijibu mimi bwashee 😅( natania tu)Fanya majiniaz tuko wawilI tu humu.
Nadhani takwimu hizi ni kwasababu wanaume wengi hawapimi hiv, wanawake inawalazimu kupima hasa nyakati za ujauzito.Mara nyingi ukisikia Takwimu za waathirika wa UkIMWI wanawake wanakuwa kwa idadi kubwa kuliko sisi wanaume, hata magonjwa ya zinaa mengine ni hivyo hivyo hii kwa asilimia kubwa hutokana na Uzembe kwa upande wa wanawake na wengi hawafahamu kuchukua tahadhari hasa linapokuja suala la ngono.
Wanawake wengi hawana maamuzi kabisa katika suala la kutumia kinga, yani mwanaume wewe ndiye utakayeamua utumie kinga ama usitumie, yeye mwanamke usipotumia sawa ukitumia sawa, hata kama ni udhaifu suala la afya yako mlinzi wa kwanza ni wewe mwenyewe bila kujali jinsia yako, nilazima uwe na uwezo wa kuchukua tahadhari juu ya afya yako.
Hasa hawa mabinti wenye miaka 16-25 nilazima wafundishwe jinsi ya kujilinda bila hivyo tutakuwa na wakati mgumu sana katika kutokomeza UKIMWI. asanteni
Hahaha 😂, dah.Hahaha wawepo wote , wewe una akili gani ya peke yako , kuweza kunijibu mimi bwashee 😅( natania tu)
Hakuna majibu😁😁Hahaha 😂, dah.
Hakuna majibu.Hakuna majibu😁😁
Vuta bangi kindegeHakuna majibu.
Leo nataka nivute mida ya saa nne kabla sijalala màana muda huu nafanya kazi ya watu.Vuta bangi kindege
Kazi ganiLeo nataka nivute mida ya saa nne kabla sijalala màana muda huu nafanya kazi ya watu.
Hii ni Siri yangu.Kazi gani
Hahaha nimelewa ujue🤣🤣🤣🤗🤗Ukiwa sober unakua(ga) full charge sana lelooo.
😄😄😄Kuna demu nilipataga, sasa wakati tuko faragha, kondom ikapasuka.
Nikamwambia kondom imepasuka.
Akajibu, kwa hiyo tunafanyaje, unaendelea au unabadilisha?
Sasa mke wako akikutwa nao si atakuambia au akikuambia wewe utakufa kiume hutataka kutumia ARV au nin🤓 Ukimwi haujifichi bila kutumia dawa utakuumbua na huwezi kupata dawa bila kupima.Nadhani takwimu hizi ni kwasababu wanaume wengi hawapimi hiv, wanawake inawalazimu kupima hasa nyakati za ujauzito.
Hawataki raha 😅Niko kijijini huku kuna kibaa mshezi mwenye hiki kibaa ameleta mabamedi saba kwa ajili ya kujiuza unajiuliza hawa wanakijiji hata kuoga hawaogi sijui hawa mama zetu wanapata raha gani.
Maoni yangu nadhani wanawake wa kiafrika kuna jambo linamiss kichwani mwao