Wanawake kwenda haja ndogo kichakani

kisungu

JF-Expert Member
Feb 20, 2013
788
264
Kuna tabia imezuka hivi karibuni ya wanawake kwa kutaka kile wanachokiita usawa wa kijinsia eti nao siku hizi wanajisaidia kichakani kama wanavyofanya kaka zao (wanaume). maswali ni mengi ila kubwa zaidi ni je hamuogopi nyoka, vipi kuhusu kubakwa? aibu? mwanamke unakubali vipi pichu yako ionekane na mtu ambaye sio mume wako? huko kichakani maji mnatoa wapi?
wakati mwingine unakuta mko safarini, wanawake mnachimba dawa hapo karibu kabisa na wanaume, acheni hizo kwani hata kama ni haki sawa sio kiivyo mwanamke unatakiwa ujisitiri kujiachia achia sio vizuri.
Nawasilisha.
 
Sijafurahi wazo lako lazima wewe utakuwa mdhalilishaji . Hivi katika akili yako umekosea topic kabisa acha upimbi bwana . Hivi kwa akili yako vinyu uliyoyafanya nayo binadamu bila kuja ni Mwanamke ua mwanaume huendi kuja saidia kwa kutaka? Je huyu binadam mwanamke akibanwa na haja na yupo safarini , gari imesimama unashaurije awe anatembea na choo au? Na inakuhusuje kumwangalia mwanamke akijisaidia kama siyo upimbi. UMENIBOA kajipange upya.
 
nimesoma mara mbili ila sijaona point. naona #teambiringishananilii inakua kwa kasi.
dung-beetle-for-blog.jpg
 
Inategemea na mazingira sasa kama amebanwa na sehemu aliko hakuna choo ila kichaka tu atafanyaje? Mfano mabasi ya mikoani yanasimamaga machakani, je ataacha kujihudumia kama amebanwa hadi apate choo.
Usicheze na kamzee gogo kakikubana unaweza ukatafta hata kona ndogo ukatue
 
Kisungu, unamaanisha siku hizi wanawake wakiwa nyumbani au ofisini wanaacha vyoo vyao na kwenda kujisaidia vichakani au? Binadamu ana uwezo wa ku control haja, ila kuna limitation. Point ikifika ni lazima haja itoke hata kama hujapenda. Kwa hiyo ukiwa let say shambani au unasafiri utajisaidia wapi zaidi ya vichakani? Na aliyekwambia mwanamke kila akijisaidia lazima atumie maji ni nani? Hapa bongo yenyewe kwenye mabaa wanawake hawatumii maji, coz wengi hawa trust maji ya vyoo vya bar. Ndo maana wanabeba tissue.

Haya ukiona chupi ya mtu usiyemjua asiyekujua ina kuhusu nini? Weee jamaa huna point kabisa.
 
Kumbe kujisaidia nako ni suala la usawa wa kijinsia?
Sikulijua hili
 
Kwahiyo tukiwa safarini tusijisaidie???

Shangaa na ww,yaan siku hz kila topic ni wadada tu as if hawaoni makundi mengine km ya kina kaka,kina baba.
Mnaboa sn,kutwa wadada ht mambo mengine si ya lazima lkn utaona wadada ndio main topic still jambo hilohilo linafanywa na kina mama,kina baba na kina kaka.
 
Sijafurahi wazo lako lazima wewe utakuwa mdhalilishaji . Hivi katika akili yako umekosea topic kabisa acha upimbi bwana . Hivi kwa akili yako vinyu uliyoyafanya nayo binadamu bila kuja ni Mwanamke ua mwanaume huendi kuja saidia kwa kutaka? Je huyu binadam mwanamke akibanwa na haja na yupo safarini , gari imesimama unashaurije awe anatembea na choo au? Na inakuhusuje kumwangalia mwanamke akijisaidia kama siyo upimbi. UMENIBOA kajipange upya.
watu wanaowaza kaa kuku wanaboreka haraka sana, endelea kuboreka sisi tuendelee kudiscus
 
hang over hiz mbaya sana..
Nyie ndio wapiga chabo nyinyi.
Kama wako safarin wajisaidie wapi? Panua lidomo lako basi wakukojolee
 
Me nilijua sijui wakiwa maofisini au majumbani kumbe safarini, hivi wewe uko njiani kuna vyoo???? Basi limesimama muda dakika 5 tena kichakani hiko choo kitatoka wapi??????
 
Kuna tabia imezuka hivi karibuni ya wanawake kwa kutaka kile wanachokiita usawa wa kijinsia eti nao siku hizi wanajisaidia kichakani kama wanavyofanya kaka zao (wanaume). maswali ni mengi ila kubwa zaidi ni je hamuogopi nyoka, vipi kuhusu kubakwa? aibu? mwanamke unakubali vipi pichu yako ionekane na mtu ambaye sio mume wako? huko kichakani maji mnatoa wapi?
wakati mwingine unakuta mko safarini, wanawake mnachimba dawa hapo karibu kabisa na wanaume, acheni hizo kwani hata kama ni haki sawa sio kiivyo mwanamke unatakiwa ujisitiri kujiachia achia sio vizuri.
Nawasilisha.

Kwahiyo utawajengea vyoo kila mahali wasichimbe dawa vichakani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom