Na huyu naye ni baba wa familia. Anamiliki mke na watoto. Kazi kupiga chabo wake za watu wakiwa ndani ya khanga moko. We ulitaka wajifunge kaniki?
Na huyu naye ni baba wa familia. Anamiliki mke na watoto. Kazi kupiga chabo wake za watu wakiwa ndani ya khanga moko. We ulitaka wajifunge kaniki?
Huyo anawatoa kwenye mjadala wa report ya CAGNa huyu naye ni baba wa familia. Anamiliki mke na watoto. Kazi kupiga chabo wake za watu wakiwa ndani ya khanga moko. We ulitaka wajifunge kaniki?
Mkeo ye anasemaje?kwanini wanawake mnapodeki huwa mnafunga khanga, hata kwa wale ambao hamna mazoea kabisa ya kujifunga khanga?
Nahitaji majibu sio maelezo.
Hello lady! What's up!Utamaduni tu hakuna zaidi ya hapo
Na huyu naye ni baba wa familia. Anamiliki mke na watoto. Kazi kupiga chabo wake za watu wakiwa ndani ya khanga moko. We ulitaka wajifunge kaniki?
Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/Nchi ngumu sana hii! Watu wanapiga hela za walipa kodi, walipa kodi wenyewe wanataka majibu ya kwa nini wanawake huvaa kanga wakati wa kupiga deki.
Tena kwa msisitizo, mlipa kodi anataka majibu! Na siyo maelezo!!