Umeongea point tupu, mim utoa 50% kwa 50%Wanaume siku zote ni mara chache sana kumweka mwanamke moyoni, hata km amefunga nae ndoa itachukua miaka kadhaa kumweka mwanamke moyoni. Ndio maana akiona kasoro tu yuko tayari tayari kumwacha mke hata km ni siku harusi mbele ya watu.... Lakini kwa wanawake kumweka mwanaume moyoni mwake ni rahisi sana km anakunywa maji vile. Sasa anapoachwa ghafla atalia weee na kulaumu wanaume wote