Toria
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 1,177
- 699
aisee kuna ambao bila kusengenya hawapati usingizi, baadhi ya wanawake tumezidi aisee, na usengenyaji mara nyingi huambatana na wivu, tena mkute mna urafiki wa ki group, ndio balaa kabisaaa, wanawake sisi ni kiboko
umeonaa eeee hata kama hupendi kusengenya itabidi japo uwe unachangiachangia azawaisi wewe ndio utaanza kusengenywa maana watasema unajiona keki