19kato
Member
- Jan 7, 2018
- 63
- 127
Mara nyingi huwa natoa 30 minutes ya kusubir then nasepa na huwa sirud ikizid hapo maana naamin hukuweka umuhimu swala la kuonana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la kuchelewa nalielewa wala sina hofu nalo hata akichilewa saa saba bado nitasubiri..
Balaa ni kutopatikana wakati wa appointment..ilishawahi kunitokea promise ya kwenda kumchukua mtoto kwao saa nne usiku..akanitel niwait mpaka saa sita watu walale kabisa
Umefika muda mtoto hapatikani ...nikasikilizia mpaka ngoma tisa nikamvutia waya akapokea akasema nilishindwa kutoka afu simu ilizima chaji..nikamwambia bado niko kituo cha daladala nakuwait akasema nipe dakika kumi na tano nakuja hapo
Baada ya muda kuisha hapatikani tena..saa kumi na mbili akaniuliza bado Upo kituoni...nikamtel nipo ghafla akafika nilipo nikachukua goma nikalipeleka chimbo nikala kiroho safi bila kulalama wa kujali..
Baharia hachoki kusubiri mpaka mission itimie..
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatakiwa wajue hilo mapema sana sio kila mtu anaweza kupoteza mudaMkuu upo Kama mm, madem kibao washafika guest wakakuta nishasepa.
Pumbavuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko ni kutojiamini mwanamke mzuri ata akivaa gunia atapendeza tuKwangu mie nacheleweshwa sana na kuchana nywele(kama sijasuka) na nguo,naweza kubadili nguo zaidi ya mara tano
Mnajipodoa mpaka mnakua feki baki natural utavutia zaidi sio unapoteza muda kujidobeka rangi Kama nyumbaNiache kujipodoa hadi niwe kama mdoli niwahi? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Miadi ni saa moja, nitaanza kujiandaa kwanzia saa 10 na bado nitachelewa. Kadri muda wa miadi unavokaribia ndio najiona sijapendeza. Ikifika muda wa miadi ndio nafanya maamuzi sasa ya potelea mbali. Narudia kuoga na kuvaa upya maana hiyo mikiki mikiki ya vua vaa tangu saa 10 na jasho limenitoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eshima kwako kiongozi.Mara nyingi huwa natoa 30 minutes ya kusubir then nasepa na huwa sirud ikizid hapo maana naamin hukuweka umuhimu swala la kuonana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya kumatch chupi na bra huwa nazingatia sana siku za match tu[emoji16]
Kwa kweli... Duh!! Mie napenda papuchi lakini sual la kusubiria muda wote huo siwezi akizingua naenda kamatia mrembo mwengine najipoza.
Wakati mwingine huwa hatutaki kuja. Sasa Kuna Ile Kama Hofu hivi nikipotezea Inakuwaje.... Muda wote huo tunakuwa tunawaza.... Niende au niahirishe.... Muda unakwenda hapo. Then Mwanamke anaamua kuja hapo kachelewa masaa 3 toka muda wa ahadi.
Tangu nilijue hili haliniumizi tena..
Nikishapanga outings na gals huwa sijiandai mpaka yeye aseme ndio natoka na mimi ndio naenda kuoga..
Mke wangu hapa home tukiwa tunatoka akishamaliza kujiandaa tu mimi ndio naenda kuoga tofauti na hapo utakereka tu maana wao ni late comers/cumers always..
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kama mimi mkuu,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haitakiwi iwe hivyo. Wee unamwambia tunatoka saa 2 akizingua unamuacha uone kama ataleta upuuzi tena siku nyingine.
Wallahy na kubutii nnakutandikaa!!Wakati mwingine huwa hatutaki kuja. Sasa Kuna Ile Kama Hofu hivi nikipotezea Inakuwaje.... Muda wote huo tunakuwa tunawaza.... Niende au niahirishe.... Muda unakwenda hapo. Then Mwanamke anaamua kuja hapo kachelewa masaa 3 toka muda wa ahadi.
Kwangu mie nacheleweshwa sana na kuchana nywele(kama sijasuka) na nguo,naweza kubadili nguo zaidi ya mara tano
Ndio natoka hapa honeyMmmmh,ndiyo maana mpaka Sasa hivi nasubiri hujatokea honey,na boeka na hapa kunawarembo kila Kona,
Sent using Jamii Forums mobile app