Wanawake kwa Hili mnatisha sana!!

Wanawake kwa Hili mnatisha sana!!

Si ndio hapo sasa,kabati limejaa ila nguo ya kuvaa tabu
Hua sipendi mlundikano wa vitu visivyotumiwa ndani kwa kweli nikioa mwenye tabia hiyo atapata tabu sana.
Unakuta mtu kajaza viatu kibao anavyovaaga havizidi 10.
Nguo zimejaa kabati zingine zipo kwenye mabegi na mashangazi kaja. Na bado anaendelea kununua kila fashion zikitoka.
Kinachochekesha siku ukiyamwaga hapo ukimwambia chagua ambazo huziitaji tuzigawe au tuchome moto. Zitazo patikana hazitozidi 10.
 
Hili ni jambo binafsi, sio kweli kwamba kila mwafrika hajali muda. Wengine wako makini hata mimi mmojawapo ingawa bahati mbaya za hapa na pale zipo pia[emoji16][emoji16]
anadanganya tu mkuu unajua ktk kitu tulichefeli waafrika nikutokujali muda na kama wanaume wote tunafika kwa wkt kwenye miadi basi itakuwa tunapenda sana nyama kuliko kitu chochote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom