Wanawake kwa Hili mnatisha sana!!

Wanawake kwa Hili mnatisha sana!!

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,511
Habari zenu wanajukwaa wa jukwaa pendwa kabisa humu jf.

Wanawake wana tabia moja hivi ambayo nadhan kila mwanaume ana experience from them. Tabia yenyew ni kuchelewa kufika kwnye appointment au outing, unaweza panga kutana na mpenzi wako lets say sa2 usiku ila akaja sa4 ni kawaida au tuseme ni jadi yao.

Binafsi nmetoka na galz tofauti almost wote mkipanga appointment lazma wacheleewe tu,Kwa mwanaume ambae hujawazoea hawa viumbe utaweza kumind kila siku na kupelekea hata kuharibika kwa appointment

Sasa wanaume fanya hvi kama mmepanga kutana usiku sa1 hapo yeye atakuja sa3 na sababu kibao[emoji23][emoji23] sasa hapo wewe ikifika sa12 huo muda mwambie umefika eneo la tukio then mwambie kuna warembo kibaoo kila angle[emoji23] hio itampa hamasa ya kufika haraka au mwambie umefika lakn endelea na mambo yako

Mwanamke akikwambia anajiandaa jua hta kuoga bado, akikwambia anakuja jua ndo anavaa[emoji23][emoji23] ni kucheza na akil zao tu.

Siri ya mwanamke ni kuchelewa na sio kuwai ukiona mwanamke anawai kabl yako lazma ushtuke dadeki huyo sio [emoji23][emoji23]




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwangu mie nacheleweshwa sana na kuchana nywele(kama sijasuka) na nguo,naweza kubadili nguo zaidi ya mara tano
Ndio kawaida yenu hiyo.😃
Sasa unajua una mtoko kwanini hayo usiyaandae mapema? Mna kakujiendekeza.
 
Niache kujipodoa hadi niwe kama mdoli niwahi? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Miadi ni saa moja, nitaanza kujiandaa kwanzia saa 10 na bado nitachelewa. Kadri muda wa miadi unavokaribia ndio najiona sijapendeza. Ikifika muda wa miadi ndio nafanya maamuzi sasa ya potelea mbali. Narudia kuoga na kuvaa upya maana hiyo mikiki mikiki ya vua vaa tangu saa 10 na jasho limenitoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mie nacheleweshwa sana na kuchana nywele(kama sijasuka) na nguo,naweza kubadili nguo zaidi ya mara tano

Ukiona umechelewa njoo kwangu umedamshi otherwise nakutimua[emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi natoa 15 minutes kinyume na hapo naamini hakuona umuhimu pia akijua natunza muda next time hafanyi ujinga. Yaani apoointment achelewe masaa matatu? Hamna kazi?
Mara nyingi huwa natoa 30 minutes ya kusubir then nasepa na huwa sirud ikizid hapo maana naamin hukuweka umuhimu swala la kuonana...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom