Wanawake kwa Hili mnatisha sana!!

Wanawake kwa Hili mnatisha sana!!

Hua sipendi mlundikano wa vitu visivyotumiwa ndani kwa kweli nikioa mwenye tabia hiyo atapata tabu sana.
Unakuta mtu kajaza viatu kibao anavyovaaga havizidi 10.
Nguo zimejaa kabati zingine zipo kwenye mabegi na mashangazi kaja. Na bado anaendelea kununua kila fashion zikitoka.
Kinachochekesha siku ukiyamwaga hapo ukimwambia chagua ambazo huziitaji tuzigawe au tuchome moto. Zitazo patikana hazitozidi 10.

Utataka awe na nguo anazovaa tu?hahahah mie navaa nguo na viatu vyote
 
Suala la kuchelewa nalielewa wala sina hofu nalo hata akichilewa saa saba bado nitasubiri..

Balaa ni kutopatikana wakati wa appointment..ilishawahi kunitokea promise ya kwenda kumchukua mtoto kwao saa nne usiku..akanitel niwait mpaka saa sita watu walale kabisa

Umefika muda mtoto hapatikani ...nikasikilizia mpaka ngoma tisa nikamvutia waya akapokea akasema nilishindwa kutoka afu simu ilizima chaji..nikamwambia bado niko kituo cha daladala nakuwait akasema nipe dakika kumi na tano nakuja hapo

Baada ya muda kuisha hapatikani tena..saa kumi na mbili akaniuliza bado Upo kituoni...nikamtel nipo ghafla akafika nilipo nikachukua goma nikalipeleka chimbo nikala kiroho safi bila kulalama wa kujali..

Baharia hachoki kusubiri mpaka mission itimie..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo wa kuchelewa ana appointment nyingi,kwahiyo lazima ahakikishe ameshamuweka sawa kila mwanaume ili asisumbue atakapokua na wewe
Habari zenu wanajukwaa wa jukwaa pendwa kabisa humu jf.

Wanawake wana tabia moja hivi ambayo nadhan kila mwanaume ana experience from them. Tabia yenyew ni kuchelewa kufika kwnye appointment au outing, unaweza panga kutana na mpenzi wako lets say sa2 usiku ila akaja sa4 ni kawaida au tuseme ni jadi yao.

Binafsi nmetoka na galz tofauti almost wote mkipanga appointment lazma wacheleewe tu,Kwa mwanaume ambae hujawazoea hawa viumbe utaweza kumind kila siku na kupelekea hata kuharibika kwa appointment

Sasa wanaume fanya hvi kama mmepanga kutana usiku sa1 hapo yeye atakuja sa3 na sababu kibao[emoji23][emoji23] sasa hapo wewe ikifika sa12 huo muda mwambie umefika eneo la tukio then mwambie kuna warembo kibaoo kila angle[emoji23] hio itampa hamasa ya kufika haraka au mwambie umefika lakn endelea na mambo yako

Mwanamke akikwambia anajiandaa jua hta kuoga bado, akikwambia anakuja jua ndo anavaa[emoji23][emoji23] ni kucheza na akil zao tu.

Siri ya mwanamke ni kuchelewa na sio kuwai ukiona mwanamke anawai kabl yako lazma ushtuke dadeki huyo sio [emoji23][emoji23]




Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama Immanuel Kant tu ukichelewa eneo la tukio ujue hunikuti naendelea na mambo mengine chap!

Mwanamke/Demu aendane na mimi lazima awe slave of time!
Habari zenu wanajukwaa wa jukwaa pendwa kabisa humu jf.

Wanawake wana tabia moja hivi ambayo nadhan kila mwanaume ana experience from them. Tabia yenyew ni kuchelewa kufika kwnye appointment au outing, unaweza panga kutana na mpenzi wako lets say sa2 usiku ila akaja sa4 ni kawaida au tuseme ni jadi yao.

Binafsi nmetoka na galz tofauti almost wote mkipanga appointment lazma wacheleewe tu,Kwa mwanaume ambae hujawazoea hawa viumbe utaweza kumind kila siku na kupelekea hata kuharibika kwa appointment

Sasa wanaume fanya hvi kama mmepanga kutana usiku sa1 hapo yeye atakuja sa3 na sababu kibao[emoji23][emoji23] sasa hapo wewe ikifika sa12 huo muda mwambie umefika eneo la tukio then mwambie kuna warembo kibaoo kila angle[emoji23] hio itampa hamasa ya kufika haraka au mwambie umefika lakn endelea na mambo yako

Mwanamke akikwambia anajiandaa jua hta kuoga bado, akikwambia anakuja jua ndo anavaa[emoji23][emoji23] ni kucheza na akil zao tu.

Siri ya mwanamke ni kuchelewa na sio kuwai ukiona mwanamke anawai kabl yako lazma ushtuke dadeki huyo sio [emoji23][emoji23]




Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la kuchelewa nalielewa wala sina hofu nalo hata akichilewa saa saba bado nitasubiri..

Balaa ni kutopatikana wakati wa appointment..ilishawahi kunitokea promise ya kwenda kumchukua mtoto kwao saa nne usiku..akanitel niwait mpaka saa sita watu walale kabisa

Umefika muda mtoto hapatikani ...nikasikilizia mpaka ngoma tisa nikamvutia waya akapokea akasema nilishindwa kutoka afu simu ilizima chaji..nikamwambia bado niko kituo cha daladala nakuwait akasema nipe dakika kumi na tano nakuja hapo

Baada ya muda kuisha hapatikani tena..saa kumi na mbili akaniuliza bado Upo kituoni...nikamtel nipo ghafla akafika nilipo nikachukua goma nikalipeleka chimbo nikala kiroho safi bila kulalama wa kujali..

Baharia hachoki kusubiri mpaka mission itimie..

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunakupa certificate ya uvumilivu baharia[emoji23][emoji1316][emoji1316]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tunakupa certificate ya uvumilivu baharia[emoji23][emoji1316][emoji1316]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa kweli... Duh!! Mie napenda papuchi lakini sual la kusubiria muda wote huo siwezi akizingua naenda kamatia mrembo mwengine najipoza.
 
Back
Top Bottom