Wanawake Kwa Hili Mnakera

Wanawake Kwa Hili Mnakera

Ouuuuukayyyy this is how it goes.

It was yesterday bana mida ya jion, jirani kanipigia simu akanishtua kuna bonge la Foleni kuelekea Home. Yeye alinishauri nibadilishe njia ila mimi, Well nka decide ku waste time kwa office kwanza ques ziishe. Ilipofika mida ya kama 1800 hivi nkamuona dada mmoja wa makamo kiasi akiondoka peke yake. Jengo letu lilivyo ni kuwa kama unatumia mlango wa nyuma kutoka lazma upitie department yetu.

As usual, boys will always be boys nkaanzisha story na kumsihi kuwa mida hii mafoleni makubwa avute hata 15 mins hivi ndo aende. Pamoja na kuwa alikataa kusubiri kwa kisingizio kuwa kesha chelewa sana lakini alisimama kunisikiliza. Here I was alone na bidada kwenye mazungumzo ambayo hata hayakuwa na aim yeyote ya maana. Kiufupi huyu dada mi huwa namuona tu na najua anafanya kazi pale ofisini ila sijawahi hata kuongea nae.

Waswahili wanasema Mbuzi akifia kwa muuza supu kinachofuata kinajulikana. Basi na mimi when I ran out of things to say kwa huyu mrembo nkamuingia. Ingawa nia yangu haikuwa kumtongoza na nili expect akatae kabisa na aondoke ila aliendelea kunisikiliza huku akijichekesha. Sio kwamba ninampenda au nimevutiwa naye ila niliishiwa tu story na maneno ya kusema kwa wakati ule. Nlivyomuuliza kuwa ombi langu analipokeaje jibu lilinishangaza zaidi. Baada ya kuona hana dalili ya kukataa nkamfungukia kuwa nina mchumba wangu nategemea kumuoa hivyo this relationship ni Non-official. Hili pia halikumfanya akatae and she was up for it huku akijitamba kuwa yeye ni bingwa wa kutunza siri and no one will know.

I was Flabbergasted, sijui ni ushamba au ndo maharage ya mbeya ila how can you possibly say yes? The conversation lasted for abt 40 mins. Tukabadilishana contacts with a promise kuwa tutawasiliana. To be honest ningeendelea na hata kumuomba tukapate vinywaji na baadae guest angekubali kabsaaaaa 100%. Unajua nimeamini kuwa hakuna mwanaume M.alaya ila tatizo wanawake wanatuwekea K mezani kirahisi mno. Wengine hatupendi ku cheat ila kama wanawake hawabadiliki sidhani kama tutafanikiwa. As for the time being, I'm keeping her number just incase. Who knows she may be a very good friend after all.
wanakera pale utakapogundua kuwa aliyekuwa akitongozwa na kuingia king kirahis ni demu wko
 
To me u dont sound reasonable!
Yaani umemtokea mwenyewe halafu unakuja kusema huku bila aibu eti story ziliniishia! Yaani dume zima na ndevu kiunoni kwa hiyo kila story zikikuishia ukiwa na mwanamke unatongoza? Mara ooh wengine hatupendi kucheat! Sasa ulimtongoza wa nini we kavulana halafu unakuja huku kumuanika? Kojoa kalale na kesho uhamie Fb.
 
Ouuuuukayyyy this is how it goes.

It was yesterday bana mida ya jion, jirani kanipigia simu akanishtua kuna bonge la Foleni kuelekea Home. Yeye alinishauri nibadilishe njia ila mimi, Well nka decide ku waste time kwa office kwanza ques ziishe. Ilipofika mida ya kama 1800 hivi nkamuona dada mmoja wa makamo kiasi akiondoka peke yake. Jengo letu lilivyo ni kuwa kama unatumia mlango wa nyuma kutoka lazma upitie department yetu.

As usual, boys will always be boys nkaanzisha story na kumsihi kuwa mida hii mafoleni makubwa avute hata 15 mins hivi ndo aende. Pamoja na kuwa alikataa kusubiri kwa kisingizio kuwa kesha chelewa sana lakini alisimama kunisikiliza. Here I was alone na bidada kwenye mazungumzo ambayo hata hayakuwa na aim yeyote ya maana. Kiufupi huyu dada mi huwa namuona tu na najua anafanya kazi pale ofisini ila sijawahi hata kuongea nae.

Waswahili wanasema Mbuzi akifia kwa muuza supu kinachofuata kinajulikana. Basi na mimi when I ran out of things to say kwa huyu mrembo nkamuingia. Ingawa nia yangu haikuwa kumtongoza na nili expect akatae kabisa na aondoke ila aliendelea kunisikiliza huku akijichekesha. Sio kwamba ninampenda au nimevutiwa naye ila niliishiwa tu story na maneno ya kusema kwa wakati ule. Nlivyomuuliza kuwa ombi langu analipokeaje jibu lilinishangaza zaidi. Baada ya kuona hana dalili ya kukataa nkamfungukia kuwa nina mchumba wangu nategemea kumuoa hivyo this relationship ni Non-official. Hili pia halikumfanya akatae and she was up for it huku akijitamba kuwa yeye ni bingwa wa kutunza siri and no one will know.

I was Flabbergasted, sijui ni ushamba au ndo maharage ya mbeya ila how can you possibly say yes? The conversation lasted for abt 40 mins. Tukabadilishana contacts with a promise kuwa tutawasiliana. To be honest ningeendelea na hata kumuomba tukapate vinywaji na baadae guest angekubali kabsaaaaa 100%. Unajua nimeamini kuwa hakuna mwanaume M.alaya ila tatizo wanawake wanatuwekea K mezani kirahisi mno. Wengine hatupendi ku cheat ila kama wanawake hawabadiliki sidhani kama tutafanikiwa. As for the time being, I'm keeping her number just incase. Who knows she may be a very good friend after all.

Si ajabu na yeye alikushangaa kwa nini uliamua kuanzisha utani wa aina hiyo...naye akakubali ili akuchore! Huenda hata yeye ametoka na conclusion kuwa wanaume si waaminifu kwny mapenzi kwan mtu aweza kuwa kwny relationship na bado akawa na tabia za ajabu kama za kwako. Kwa hiyo nyote mmeshangaana!
 
Cjaelewa ulikua unamaana gani? Mi nilijua amejitongozesha kumbe mavmav tu
 
Huyu ni mlinzi. Eti ohhh jengo letu lilivyo ukitaka kutoka lazima upitie dept yetu.
Dada wa watu amemuhurumia, unajishaua.lol

Ahahaaa halafu kweli.ndo maana anaona ajabu kutongoza staff
 
Hivi kumbe hata wanaume nao wapo maharage ya mbeya?
 
mi sijamuelewa bana, lakini ndio hivo tena kuna watu huwa hawaoni makosa yao ila wanaona makosa ya wengine tu.

hivi unajua kwanini nakupenda DEMBA? una akili sana mpenzi. Ngoja nikuPM ni kuambie kitu kizuri na kitamu
 
Mmhhhh ngoja ninyamaze tu mie kumuanza umuanze mwenyewe sie utujumuishe pia kwani yeye hana nyege sio kila mwanamke ukimtongoza akakubali anakupenda au kakuzimia mno muda mwingine tunahitaji kupunguza nyege tuuu wala hatuna mpango wa kudumu
Umetisha aisee......!kumbe na hii imo....?
 
Kutongoza na kutongozwa / kukubaliwa na kukataliwa mbona mambo za kawaida sana...next time u need not to put it this much big............!mwanaume sometimes unasoundisha ili kujenga heshima tu kama mazoea yanazidi na si kila ukitongoza lazima uchape...............so hata ilipoishia ungepiga kimya tu na ingekuwa mia................!
 
you mean mila zinafundisaha mwanaume kumtry mwanamke yeyeote hata kama yuko engaged kwa mwanamke mwingine?zinafundisha mwanaume a play na feelings za wanawake so easily like that?kama umemnote vilivyo PetCash utagundua kwamba ulichokuwa unajaribu kukifanya ni kama kucheza na hisia za mtu mwingine perhaps she was badly waiting for that chance who knows???????????????
Ndugu yangu mila zetu hazitufundishi mwanamke kujilegeza kiasi hiki. Raha ya mwanamke akupe tabu sana. Tena ushindwe mpaka upeleke barua ya posa nyumbani kwao. Sawa mimi huenda nimekosea kumtongoza ila yeye ka compund kosa langu mara nyingi zaidi.
 
Last edited by a moderator:
mtcheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeew
wewe mwenyewe hamnazo kweli. Unafanya majaribio kwani hapo laboratory alaaa
 
mtcheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeew
wewe mwenyewe hamnazo kweli. Unafanya majaribio kwani hapo laboratory alaaa
haaa haa haa huu uzi ni funga mwaka kwa kichambo. ningekuwa ndio mimi mleta mada ningewaomba mod wautoe,
 
Me370 pamoja na kuchana karatasi lakini sijaelewa hasa ulikuwa unataka kusema nini? Kwamba huyo mwanamke ndio chanzo cha majaribu yako au wewe mwenyewe?

Binafsi naona kila mwanaume ana wazimu wake. Kama kweli ulikuwa msafi kwa nini usianze kumuhubiria neno la mungu sheikh? Wewe ndio miongoni mwa waleeeeeeee. Ni hayo tu mkubwa mwenzangu
Ouuuuukayyyy this is how it goes.

It was yesterday bana mida ya jion, jirani kanipigia simu akanishtua kuna bonge la Foleni kuelekea Home. Yeye alinishauri nibadilishe njia ila mimi, Well nka decide ku waste time kwa office kwanza ques ziishe. Ilipofika mida ya kama 1800 hivi nkamuona dada mmoja wa makamo kiasi akiondoka peke yake. Jengo letu lilivyo ni kuwa kama unatumia mlango wa nyuma kutoka lazma upitie department yetu.

As usual, boys will always be boys nkaanzisha story na kumsihi kuwa mida hii mafoleni makubwa avute hata 15 mins hivi ndo aende. Pamoja na kuwa alikataa kusubiri kwa kisingizio kuwa kesha chelewa sana lakini alisimama kunisikiliza. Here I was alone na bidada kwenye mazungumzo ambayo hata hayakuwa na aim yeyote ya maana. Kiufupi huyu dada mi huwa namuona tu na najua anafanya kazi pale ofisini ila sijawahi hata kuongea nae.

Waswahili wanasema Mbuzi akifia kwa muuza supu kinachofuata kinajulikana. Basi na mimi when I ran out of things to say kwa huyu mrembo nkamuingia. Ingawa nia yangu haikuwa kumtongoza na nili expect akatae kabisa na aondoke ila aliendelea kunisikiliza huku akijichekesha. Sio kwamba ninampenda au nimevutiwa naye ila niliishiwa tu story na maneno ya kusema kwa wakati ule. Nlivyomuuliza kuwa ombi langu analipokeaje jibu lilinishangaza zaidi. Baada ya kuona hana dalili ya kukataa nkamfungukia kuwa nina mchumba wangu nategemea kumuoa hivyo this relationship ni Non-official. Hili pia halikumfanya akatae and she was up for it huku akijitamba kuwa yeye ni bingwa wa kutunza siri and no one will know.

I was Flabbergasted, sijui ni ushamba au ndo maharage ya mbeya ila how can you possibly say yes? The conversation lasted for abt 40 mins. Tukabadilishana contacts with a promise kuwa tutawasiliana. To be honest ningeendelea na hata kumuomba tukapate vinywaji na baadae guest angekubali kabsaaaaa 100%. Unajua nimeamini kuwa hakuna mwanaume M.alaya ila tatizo wanawake wanatuwekea K mezani kirahisi mno. Wengine hatupendi ku cheat ila kama wanawake hawabadiliki sidhani kama tutafanikiwa. As for the time being, I'm keeping her number just incase. Who knows she may be a very good friend after all.
 
Back
Top Bottom