Hivi ni kwa nini wanawake WENGI hata wawe na pesa kuzidi waume/maboifrendi wao lakini wanakuwa wagumu sana kuwapa au kutumia pesa yake na mwenzie??Hata kama mwanaume wake ana mshahara mdogo kuzidi yeye bado atamuomba hata pesa ndogo ya mswaki.Hivi hii ni asili au nini?Vipato au mishahara yao wanaipeleka wapi?
Hii utaiona kama umetoka auti na mwenzio atazungusha raundi mwanaume tu!!Wapo wachache ambao wanashea na wenzao vipato vyao,lakini hawa wengi ni kwa nini?
Hii utaiona kama umetoka auti na mwenzio atazungusha raundi mwanaume tu!!Wapo wachache ambao wanashea na wenzao vipato vyao,lakini hawa wengi ni kwa nini?