Wanawake kutongoza wanaume kuna ubaya?

Wanawake kutongoza wanaume kuna ubaya?

eeh hebu niambie wanaanza vip nam nimpige saund mtu

Ona Sasa!

Eiyer...samahani lakini kama ntakuwa nimekuja kwa pupa ila ni moyo wangu na hisia zangu nashindwa kuzuia..yaani sio siri,tangia nimejiunga jf na kukufahamu,kiukweli napata hisia za ajabu sana juu yako...please nielewe Eiyer,nahitaji uwe laaziz wangu,.sakafu wa moyo wangu walahu ntapata amani ya moyo,comments zako kwenye posts mbalimbali ndo zinanichanganya,kila nikiona najikuta natabasamu mwenyewe,umeniteka kiukweli mwili mpaka roho! nimeamua kufunguka mwenzio,nielewe!!.bila wewe ntapumulia mipira jamani,nikubalie kabla sijanywa sumu na kuacha ujumbe wa kulikosa penzi lako,nakupenda sana mie.

kama hvo mke mwenza,huku unang'atang'ata lips,macho kama umekula kungu na kubana mapaja,ataelewa tu.
 
Ona Sasa!

Eiyer...samahani lakini kama ntakuwa nimekuja kwa pupa ila ni moyo wangu na hisia zangu nashindwa kuzuia..yaani sio siri,tangia nimejiunga jf na kukufahamu,kiukweli napata hisia za ajabu sana juu yako...please nielewe Eiyer,nahitaji uwe laaziz wangu,.sakafu wa moyo wangu walahu ntapata amani ya moyo,comments zako kwenye posts mbalimbali ndo zinanichanganya,kila nikiona najikuta natabasamu mwenyewe,umeniteka kiukweli mwili mpaka roho! nimeamua kufunguka mwenzio,nielewe!!.bila wewe ntapumulia mipira jamani,nikubalie kabla sijanywa sumu na kuacha ujumbe wa kulikosa penzi lako,nakupenda sana mie.

kama hvo mke mwenza,huku unang'atang'ata lips,macho kama umekula kungu na kubana mapaja,ataelewa tu.

Eiyer umesikia? jibu baasi
 
Dah... Asavali, kuna mdau humu nimeshamuoneshea vitendo hata ukopi hamchezi. Shost Evelyn Salt hebu nigee mistari nije nimpe makavu live. Khaaaaa.... Why kuumiza mtima wange????
 
Last edited by a moderator:
Ona Sasa!

Eiyer...samahani lakini kama ntakuwa nimekuja kwa pupa ila ni moyo wangu na hisia zangu nashindwa kuzuia..yaani sio siri,tangia nimejiunga jf na kukufahamu,kiukweli napata hisia za ajabu sana juu yako...please nielewe Eiyer,nahitaji uwe laaziz wangu,.sakafu wa moyo wangu walahu ntapata amani ya moyo,comments zako kwenye posts mbalimbali ndo zinanichanganya,kila nikiona najikuta natabasamu mwenyewe,umeniteka kiukweli mwili mpaka roho! nimeamua kufunguka mwenzio,nielewe!!.bila wewe ntapumulia mipira jamani,nikubalie kabla sijanywa sumu na kuacha ujumbe wa kulikosa penzi lako,nakupenda sana mie.

kama hvo mke mwenza,huku unang'atang'ata lips,macho kama umekula kungu na kubana mapaja,ataelewa tu.
Cc: Eiyer shindwa mwenyewe tu
 
Last edited by a moderator:
Ona Sasa!

Eiyer...samahani lakini kama ntakuwa nimekuja kwa pupa ila ni moyo wangu na hisia zangu nashindwa kuzuia..yaani sio siri,tangia nimejiunga jf na kukufahamu,kiukweli napata hisia za ajabu sana juu yako...please nielewe Eiyer,nahitaji uwe laaziz wangu,.sakafu wa moyo wangu walahu ntapata amani ya moyo,comments zako kwenye posts mbalimbali ndo zinanichanganya,kila nikiona najikuta natabasamu mwenyewe,umeniteka kiukweli mwili mpaka roho! nimeamua kufunguka mwenzio,nielewe!!.bila wewe ntapumulia mipira jamani,nikubalie kabla sijanywa sumu na kuacha ujumbe wa kulikosa penzi lako,nakupenda sana mie.

kama hvo mke mwenza,huku unang'atang'ata lips,macho kama umekula kungu na kubana mapaja,ataelewa tu.

Aiseeee ........

Hebu kunywa sumu ili nihakikishe unanipenda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom