Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
Ha ha ha ha hili tongozo limegraduate aseee
nang'oa kidume hapo we nicheke tu
Ha ha ha ha hili tongozo limegraduate aseee
Eiyer....Unaitwa huku!..
haya sasa mke mwenza fanya kweli bhana
Eve na Mom fay wamesema nikuambie eti nakunanii...uwe sakafu na chujio la moyo..
Nijifunike na wewe shuka moja
Kumbe wao wamekuambia .....
Wewe je?
nimtongoze nan sijui we unaona nan anafaa?
mtoto mzuri mie sijawahi kujambaHahahaaaaaaaaa .....
AA wapi,unataka unijambieee
Sitaki kabisaaaaaa!!!!!!!
na mimi hivyo hivyo km walivyosema ila nakuogopa
mtoto mzuri mie sijawahi kujamba
Umenikataa au ndo mambo ya usinikubali haraka?
Naona umepata tayari baby ake. Mimi mwenzako sihitaji kutongoza nina waume watatu na wote wananipenda hasa, nami nawapenda sana sana sijaona kama wao.
mtoto mzuri mie sijawahi kujamba
Umenikataa au ndo mambo ya usinikubali haraka?
Kwani unataka nini?
et nataka nini kwa Eiyer?
eh mama hata jibu hujapewa tayari una wivu...hahahaha eiyer si ukubali na wewe mbona ivo?
Ubaya gani, kwani sie hatuna hisia
Mi nasema tutaendelea kuwatongoza tu....
leo jumanne, jumamosi lazma nitongoze mtu nahisi nimezama kwenye dimbwi la mahaba
siwezi kufa na hisia zangu
^^
Kweli, mambo yanabadilika, Unamweleza yanaisha!
^^