Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,091
- 165,244
naomba unitongoze sahivi w'end ntakuwa busy...Kumbeeeee .......
Panga kutongoza na mimi nakutongoza
Nimechoka kuumia mie
Katoto kazuri sana wewe ....lol!!!!!!!!
naomba unitongoze sahivi w'end ntakuwa busy...Kumbeeeee .......
Panga kutongoza na mimi nakutongoza
Nimechoka kuumia mie
Katoto kazuri sana wewe ....lol!!!!!!!!
Hilo ni swari....
nina mpango wa kumtongoza mtu MMU tatizo kajikita siasani
Ubaya gani, kwani sie hatuna hisia
Mi nasema tutaendelea kuwatongoza tu....
Ubaya gani, kwani sie hatuna hisia
Mi nasema tutaendelea kuwatongoza tu....
Mazatongue z big problem to you Eva???
Ha ha ha una maswari jameni
Vigezo vyako vya kumtongoza mwanaume ni vp?
Bantu lady my dia, twende basi ukanisaidie kutongoZa maana hata sijui wanaanzaga vp
Ubaya gani, kwani sie hatuna hisia
Mi nasema tutaendelea kuwatongoza tu....
Ubaya gani, kwani sie hatuna hisia
Mi nasema tutaendelea kuwatongoza tu....
jitahidini lakini possibility ya kuwa dumped ni kubwa kwani inachukuliwa kama ulijipendekeza
hahaha mke mwenza jamani,hujui kutongoza? wapi Bantu Lady akusaidie...hapa natafuta pozi nampango wa kumfungukia Eiyer...Nimchane kweli,mimi ndo nshafolu ivo,akimind poa tu!
nimtongoze nan sijui we unaona nan anafaa?Hahahahaa una vituko baby ake, mi ndio najua basi, hamna kitu. Nafikiria labda wanawake wanatongoza kwa aina tofauti na ile ya wanaume.
Ila wataka mtongoza nani tena?
Naomba nitongozehilo ni jambo la kawaida kama nampenda mtu kwa nini nikae nalo rohoni
Mfate huko huko...
au nitume mie udalali wa mapenzi nna uzoefu nao sana