Wanawake kushirikiana na mashoga

Wanawake kushirikiana na mashoga

falcon mombasa kuna ukweli fulani ktk mada.
ktk shughuli zangu za ujasiriamali,wakati flani kampuni yangu iliwahi kupata kazi ya ku-shoot live with tv screen kitchen party ya mtoto wa kigogo mmoja nchini.nilicho kiona kilinipa mshangao mkubwa sana,kitchen party ile ilikuwa na mashoga watatu ambao ilisemekana walikodiwa toka mombasa ili kuja kusherehesha party ile.walionekana kufahamiana sana na yule mdada aliyekuwa anafanyiwa kitchen party.
 
Last edited by a moderator:
falcon mombasa kuna ukweli fulani ktk mada.
ktk shughuli zangu za ujasiriamali,wakati flani kampuni yangu iliwahi kupata kazi ya ku-shoot live with tv screen kitchen party ya mtoto wa kigogo mmoja nchini.nilicho kiona kilinipa mshangao mkubwa sana,kitchen party ile ilikuwa na mashoga watatu ambao ilisemekana walikodiwa toka mombasa ili kuja kusherehesha party ile.walionekana kufahamiana sana na yule mdada aliyekuwa anafanyiwa kitchen party.

mkuu kadoda11 unasema huyo bwabwa alitokea wapi?
 
Last edited by a moderator:
Na Danny mtoto wa mama

evelyn watu wako hawa hapa,wapo na "shoga yao".lol

11222531_439386642900484_7609368503352587071_n.jpg
 
Kinachoniacha hoi vijana wengi wadogo hadi 14yo wanajihusisha na ushoga. Vijana wengi wanaojihusisha na modeling na fashooooon ni mashoga.

Ushoga unashika kasi kubwa sana hapa Tanzania, miaka michache ijayo tutakua na idadi kubwa sana ya vijana mashoga.

Mbaya zaidi wana websites na blog zao ziko active kabisa kuwasapoti na kuwaunganisha pamoja sijui TCRA wanafanya nini.

Zitaje hizo blog na website zao tuzipige chini
 
Mie kuna mwanaume flan hv wa fb niliambiwa ni gay na nikathibitsha akipost sehemu flan hv jaman huwez amini nildhan ni mwanaume rijali kumbe wapi
ana swaga za taarab sana anapenda sana kutuma salam redion
anapenda kujiita mvuto mia kwa mia mara superstar wa kigamboni wanawake wanampenda sana kumbe ni gay
 
Wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza hivi mashoga wana mvuto gani kwa wanawake na kina dada/vibinti vya College? Manake kwa tathmini ndogo tu saluni ya kike inayohudumiwa na mashoga ndiyo inayopata wateja wengi zaidi tena hata watu wazima.

Lakini kina wanawake haohao wamekuwa vinara wa kulalamika kuwa wanaibiwa waume zao na mashoga, tena cha ajabu hawa mashoga wamekuwa dili zaidi hata katika sherehe za wanawake hususani Kicheni party.

Leo nawauliza hivi nyie wanawake kuna raha gani mnaipata kukaa na mashoga au yale matusi wanayotukana hovyo hovyo au mashoga ni mafundi wazuri wa kutengeneza nywele zenu?

Na huko kwenye Kitchen party ina maana mashoga ni mahodari wa kuwafunda jinsi ya kuishi na waume zenu hata mambo ya kitandani? Ndo maana siku hizi namba ya wanawake wanaoliwa tigo (PETE) ni kubwa sana kuliko inavyodhaniwa.

Duh hiyo kali
 
Back
Top Bottom