Wanawake kushirikiana na mashoga

Wanawake kushirikiana na mashoga

Kinachoniacha hoi vijana wengi wadogo hadi 14yo wanajihusisha na ushoga. Vijana wengi wanaojihusisha na modeling na fashooooon ni mashoga.

Ushoga unashika kasi kubwa sana hapa Tanzania, miaka michache ijayo tutakua na idadi kubwa sana ya vijana mashoga.

Mbaya zaidi wana websites na blog zao ziko active kabisa kuwasapoti na kuwaunganisha pamoja sijui TCRA wanafanya nini.

Wanaoimba tarabu ndo sijui ni wanaume wa aina gani coz ukiwaangalia wanaliwa pete kabisaa!!
 
tena mtaani kwenu ndo wamejaa

to be honest nishawahi kukaa mtaa moja na shoga
aunt suzy kama mshawahi kumsikia kwenye kipindi cha njia panda clouds fm
yuko frendly saana hasa kwa kina dada siyo sirii kina kaka wanaaachukia kuwaona ndo maana hukuti shoga ana urafiki na mtoto wa kiume maybe ukute ni mpenzi waaakee
 
to be honest nishawahi kukaa mtaa moja na shoga
aunt suzy kama mshawahi kumsikia kwenye kipindi cha njia panda clouds fm
yuko frendly saana hasa kwa kina dada siyo sirii kina kaka wanaaachukia kuwaona ndo maana hukuti shoga ana urafiki na mtoto wa kiume maybe ukute ni mpenzi waaakee

wewe unajuaje kama ni mkarimu,au uliwahi kuwa mpenzi wake
 
Siku hizi mambo yamebadilika...wazazi huwachunga sana watoto wa kiume kuliko watoto wa kike kutokana na kukua kwa wimbi la vijana kujiingiza katika vitendo vya kishoga.....
 
Kuna vitu vingi vya kuvifanyia uchunguzi mkuu!! kwanini uliamua kulichunguza hili???
 
Mheshimiwa mbunge atakua na ufafanuzi make kajaa kwenye page za mashoga sijui anawatumia kufanya nini
 
Back
Top Bottom