Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Cha ajabu niko tofauti kabisa na hiyo avatar....
mmh itabidi nkutafute niakikishe...
Cha ajabu niko tofauti kabisa na hiyo avatar....
mmh itabidi nkutafute niakikishe...
sijui nachapiwa,maana kama jamaa atakuwa anadindisha basi atakuwa kanichapia
Mkuu kuna blog yao moja wanaweka namba zao za simu, majina yao halisi na wanapatikana wapi, umri wao. Wengi ni madogo hadi wa miaka 14.
Wameweka sifa zao pale, wanavyojisifu kuweza kkuichezea dushelele unaweza kuchanganyikiwa.
Niliwahi kuwatafta physically baada ya kuamua kufanya kautafiti nilichokiona kule kilinimaliza nguvu, wengi ni vijana wanaopenda raha,wanaofanya kwenye mahotel ya kitalii zanzibar,arusha na hapa dar.
Nilifanya hako ka utafiti nilichojifunza ni kwamba tunakoelekea ni hatari kwa vijana wetu wa kiume. Ukikutana nao huwezi kuamini, ni vijana watanashati kweli,wenye vifua vya mapande sita.
girlfriend wangu rafiki yake moja nishoga,jamaa akitembea kama kiuno kimelegea....ila sikupenda walivyo marafiki sasa najiuliza kama jamaa anasimamisha si atakuwa ananichapiasijakusoma mkuu
hiyo blog inaitwaje mkuu
girlfriend wangu rafiki yake moja nishoga,jamaa akitembea kama kiuno kimelegea....ila sikupenda walivyo marafiki sasa najiuliza kama jamaa anasimamisha si atakuwa ananichapia
http://tanzaniantopsbottomsandversatile.blogspot.com/2011/10/karibuni-sana-mabasha-na---------wa_12.html?m=1
Pitia hiyo link utakutana nayo na jinsi wanavyofundishana jinsi ya kufanywa bila kupata maumivu,soma comments zote kuanzia za zamani hadi za juzi utajifunza kitu kuhusu hawa jamaa.
Www.tanzaniatopsbottomsandversatile.blogspot.com
Inategemea huyo shoga rafki ya mpenzi wako yukoje.girlfriend wangu rafiki yake moja nishoga,jamaa akitembea kama kiuno kimelegea....ila sikupenda walivyo marafiki sasa najiuliza kama jamaa anasimamisha si atakuwa ananichapia
yaani hata shetani shoga hakuna kwa jinsi huu ujinga usivofaa
Inategemea huyo shoga rafki ya mpenzi wako yukoje.
Versatile, hawa wao ni dual, wanafanywa na kufanya,wakishafanywa wanapata ham ya kufanya.
Bottoms, hawa ni kama wanawake full, uume wao hausimami tena wala haufanyi kazi.
Tops, hawa wao hufanya tu na hawafanywi, hawa ndio mabasha.
Kama mpenzi wako anajihusisha na tops ujue kaliwa, kama na versatile kuna uwezekano kaliwa na kama ni botyoms yuko salama.
Jamani,ngojeni basi mwezi hata ufike Chalinze,mwee
dah tcra chukueni hatua maana vijana na mitandao imewaharibu sana kuna web moja machoko na wanawake watoa 0713 wamejaa lakin tcra wamekaa kmya
peperonity.com - Free mobile videos, pics, blogs, chat, sites and friends.
Mweeeh!
Cha ajabu niko tofauti kabisa na hiyo avatar....