BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,054
Wanawake sometimes utakutaa huolewi au hupat mchumba wa kueleweka tatizo ni wewe. Utashangaa wenzako wakiewa wewe ukiendelea kuwa mpendwa mtizamaji.
1. Mwanamke kama unamwanaume zaid ya mmoja sahau ndoa. Utaishiwa kupigwa tu danadana
2. Unachagua mtu eti sitaki mpiga debe mara sitaki mwanaume asiye na gari sahau ndoa dada angu.
3. Mwanamke uliyekaa tu hata hujishughulishi kupika mihogo, maandazi kazi yako vizinga tu sahau ndoa.
4.Siku nzima kushinda snapchat, mara tiktok, mara facebook kufuatilia udaku sahau kuolewa.
5. Mwanamke kanisani hukujui ila baa, club huko ndo kwako sahau ndoa dada yangu
6. Unavaa nguo zinakubana mara ukae uchi ukitegemea utaolewa sahau ndoa aiseee
Sisi wanaume mtuonage hivihivi tunaakili sana kwenye kuangalia mwanamke wa kuoa. Mpiga debe mwenyew anataka mwanamke anaejielewa sasa nyie leteni mizaaa mwone kama kuna ndoa.
1. Mwanamke kama unamwanaume zaid ya mmoja sahau ndoa. Utaishiwa kupigwa tu danadana
2. Unachagua mtu eti sitaki mpiga debe mara sitaki mwanaume asiye na gari sahau ndoa dada angu.
3. Mwanamke uliyekaa tu hata hujishughulishi kupika mihogo, maandazi kazi yako vizinga tu sahau ndoa.
4.Siku nzima kushinda snapchat, mara tiktok, mara facebook kufuatilia udaku sahau kuolewa.
5. Mwanamke kanisani hukujui ila baa, club huko ndo kwako sahau ndoa dada yangu
6. Unavaa nguo zinakubana mara ukae uchi ukitegemea utaolewa sahau ndoa aiseee
Sisi wanaume mtuonage hivihivi tunaakili sana kwenye kuangalia mwanamke wa kuoa. Mpiga debe mwenyew anataka mwanamke anaejielewa sasa nyie leteni mizaaa mwone kama kuna ndoa.