scalethat
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,063
- 1,883
ata coin ina pande mbili iweje mtake sifa tuMapungufu usiyaseme leo
Ni mwendo wa kulewa sifa na kupewa haki yetu
af vikiambatana ndo mtalewa vizuri
ata coin ina pande mbili iweje mtake sifa tuMapungufu usiyaseme leo
Ni mwendo wa kulewa sifa na kupewa haki yetu
Tuma picha basi nikuone nikupe sifa zakoSio mbaya hata ukinisifia mimi badili yake
Hayupo namaanisha "sina"Msifie hapa hapa angalau nasisi tufarijike
ahaha pole ya nn tena na mahaba yote hayo unayopewa??asante na pole usisahau kunipa
Dunia ya matumaini ya Dada AcaciaLa hasha!!!! Angekuwepo ningemsifia mpaka angesahau kama yupo kwenye dunia ya ubatili.
Hahahaha hizo nazo ni sifa mkuu.Hahahaha hapa sasa sijaelewa
Hii double penetration
Umesifia na kuchamba
AkuHongera sana
Mungu akujalie upate wa kukugegeda Mumu