Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Yaani ni wachache sana wanaoutupa credits sisi wanaume
aaaah mwanaume huyu hakiyalahi anajua kujali sijapata kuona,mfanowe hakuna.heshima sasa mpaka naona hakuna kama mimi.anajua kunisamehe mpaka kuna saa naona haya mwenyewe natamani niombe adhabu nipate kupata amani
mahaba yake si ya sayari hii yakhee,mpaka natamani kumshare wajue utam wake na ninavyofaidi mie.
nimenogewa mie natamani nimalizie na mapungufu yake
tuwape sifa kenge