Mimi katika kumuwimba kimasihara mpangaji mwenzangu akaanza kunipa virungu vidogo kabla hata ya kuwekana sawa. Nilikuwa naweza kumpa hata mara kumi yake ila nikaona nitaingia mkataba wa kibandari....zoezi nililifuta.Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam
Huyu binti kwanza alikua ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikua anataka kugundua nini
Ingawa nilikua sipendi lakini nikaona anyway kwakua ndo tumeanza mahusiano wacha nimlizishe
Hali hiyo haikunisumbua sana mana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call
Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae
Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadirishe.
Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.
Nilikua na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.
Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% mana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel
Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Story ya zamani,, kwanini uilete leo?Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam
Si ndiyo jamani 😁😁Hawawezi kukuelewa wao wanajua ni haki yao kuelezea matatizo yao.
hujambo binti yanguTafuta pesa kijanaHivi kweli elfu 80 ni hela ya kunung'unika adi uvunje mahusiano na mtu unayesema unampenda?Je kuhudumia familia utaweza kweli ukiwa nayo maana vya kwenye familia gharama zinatiririkaga automatically mara mtoto aumwe mke ameze mswaki yaani tafrani hahaa.
Yani ni shida sana hawa viumbe na ndio maana wengi wao wanaishia pabaya sababu ya tamaa.Hawawezi kuvumilia ndo walivyoumbwa kutamani vya wenzao, day one unamchombeza day two unapata msululu wa mahitaji kaishiwa gas, kodi anadaiwa, vocha, nk. Hapo hata mzigo hujala, Mungu awasaidie wajitambue
Shikamoo Baba.hujambo binti yangu
Sasa we mwenyewe hujishangai maelezo yako, unaoneka wazi umekurupuka kujibu.Tafuta pesa kijanaHivi kweli elfu 80 ni hela ya kunung'unika adi uvunje mahusiano na mtu unayesema unampenda?Je kuhudumia familia utaweza kweli ukiwa nayo maana vya kwenye familia gharama zinatiririkaga automatically mara mtoto aumwe mke ameze mswaki yaani tafrani hahaa.
Sio kwamba nisingemuachia pocket money, pesa kdg lazima ningemuachia ila alipaswa baada ya kuonana ndo aanze at least kusema shida yake.Binafsi siwezi kukutana na mwanamke halafu nisimpe chochote sema alianza kunililia shida kabla hata ya kuonana napata mashaka mana najua litakua penzi la invoice daily.Aliona bora akuombe mapema kabla ya wewe kumuomba😂😂 yani ni full kuombana uzuri yeye mjanja kakuwahi😅
Sasa ulitaka uende ukamnanii bure bure tu ukizingatia hamkai karibu😂😂😂