Wanawake jinsi wasivyokuwa waaminifu...

Wanawake jinsi wasivyokuwa waaminifu...

Wanaume wanayo? Japo sijasoma mpaka mwisho wanawake wa namna hii huwa siwalaumu siku izi.

Unaonekana umejeruhiwa vibaya!Ungesoma stori hii yote ungeniunga mkono!Manaake wanawake wenzie wamemtia ujinga badala ya kumpa ushauri wa maana!Sie tunashukrani sana, tena sana, na huwezi kahisiwa na kuonywa na mkeo ukaendelea labda kama kuna shida zingine!Huyu mwanamke hakuwa na shida yoyote ndani, yaani hadi ngono alikuwa anangonolewa vizuri, yeye mwenyewe anakiri!
 
Hii story sijaipenda kwa sababu moja
Kwanza kelvin alishinda pili kelvin hakuuliwa au .... , tatu kelvin alionekana mwizi live ilipaswa naye tujue upande wake jinsi atakavyo teswa na huyo kimada, nne nafikiri kuna haja ya kelvin kufanywa bwabwa hata kwa nguvu za giza yaani Akikutana na mke wa mtu au wakwake ngoma haiinuki,

Kwa upande wa huyo msimuliaji angepaswa awe na kidonda kwenye k
 
Kiukweli inataka moyo wa uvumilivu sana sana kwa mwanaume anayekutana na mke wa dizaini hii, kwa inaumiza sana. Ukizingatia wewe unamuheshimu na kuwa mwaminifu kwake kwa kila kitu. Hakika inafundisha sana, kama unaishi.
 
Wee utakuwa mpinzani wa karibu angalau wa yule nshomire wa igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Stori yako ndefu, ebu summerize kidogo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom