Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Pole sanaUngependa tabia za mke kama uchapakazi na usafi wala usingekuja kulalamika hapa leo! Mwanamke anakupa unyumba still unalalamika hivyo😂
Pole sanaUngependa tabia za mke kama uchapakazi na usafi wala usingekuja kulalamika hapa leo! Mwanamke anakupa unyumba still unalalamika hivyo😂
Wajisahau sana hawa viumbe. Bora hata sisi watoto wanatuvurugia mwili, wao excuse yao ni gani?Hata na kwa wanaume ni hvyo hvyo tu..
Wakifkisha 40 yrs wanaanza kuchoka, mvi zinaota, vitambi, anaanza kuvaa ki dingi , K- vant zinammaliza nguvu , yaani hapo stimu zinakata. unaishi nae tu ili mlee watoto
Ndo mana wanawake wanaenda kujitaftia vi benten vya kujipooza navyo, kwa mume tena mvuto hamnaa..
Wajisahau sana hawa viumbe. Bora hata sisi watoto wanatuvurugia mwili, wao excuse yao ni gani?
Wanaume wanaoongea maneno kama haya wengi wao huwa hawana jipya kimuonekano, kifedha, sura, na mengineyo..Chagamoto kubwa siku hizi ambayo inasababisha ndoa ziingie kwenye migogoro isio isha ni uzembe wa wanawake kwenye ndoa, unaoa mke ukiwa 30yrs yeye akiwa 23yrs, kwa umri huo anakua na sura nzuri na makeups chura sauti nzuri umbo safi, kwa kweli anakua na mvuto kila siku, unatamani kukutana nae kila siku mara mbili.
Nlikuwa napanga kuleta thread km hii kwa mwaka mzima nasita. Pia mwanaume wako akichepuka jua anatumia so chini ya elf 50 kwa kujibana sana. Hebu kwa wiki mara 2 kwa mwezi mara8ukipiga hapo ni laki3 hivi inakuwaje ukucover nafasi yako vizuri hii hela ikarudi ndani mwakoChagamoto kubwa siku hizi ambayo inasababisha ndoa ziingie kwenye migogoro isio isha ni uzembe wa wanawake kwenye ndoa, unaoa mke ukiwa 30yrs yeye akiwa 23yrs, kwa umri huo anakua na sura nzuri na makeups chura sauti nzuri umbo safi, kwa kweli anakua na mvuto kila siku, unatamani kukutana nae kila siku mara mbili.
Nlikuwa napanga kuleta thread km hii kwa mwaka mzima nasita. Pia mwanaume wako akichepuka jua anatumia so chini ya elf 50 kwa kujibana sana. Hebu kwa wiki mara 2 kwa mwezi mara8ukipiga hapo ni laki3 hivi inakuwaje ukucover nafasi yako vizuri hii hela ikarudi ndani mwako
Waambie bhana labda watakuelewa...Chagamoto kubwa siku hizi ambayo inasababisha ndoa ziingie kwenye migogoro isio isha ni uzembe wa wanawake kwenye ndoa, unaoa mke ukiwa 30yrs yeye akiwa 23yrs, kwa umri huo anakua na sura nzuri na makeups chura sauti nzuri umbo safi, kwa kweli anakua na mvuto kila siku, unatamani kukutana nae kila siku mara mbili.
Kujisahau hata wanaume mnajisahau vile vile na kujisahau nyie na wanawake Wana lose touchHatuongelee nguvu za kiume, tunaingelea uzembe wa wanawake baada ya kuka kwenye ndoa mda mrefu wana jisahau kabisa mwana mke wamiaka 35 huonekana kama bibi na kitambi juu.
Hongera kwa kua na mke mzuri mnae tunzana vizri endelea hivoEndelea kutafuta " aromatic" na "acute"girl..mkeo majukumu yanamuandama..ila kabla hujalalama je unamtunza?.Je mahitaji yake anapata vzr?.mimi nina wtt 3 but still na look good kwa sbb natunzwaaa.