cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,647
- 137,368
Hata na kwa wanaume ni hvyo hvyo tu..
Wakifkisha 40 yrs wanaanza kuchoka, mvi zinaota, vitambi, anaanza kuvaa ki dingi , K- vant zinammaliza nguvu , yaani hapo stimu zinakata. unaishi nae tu ili mlee watoto
Ndo mana wanawake wanaenda kujitaftia vi benten vya kujipooza navyo, kwa mume tena mvuto hamnaa..