Wanawake huwa wanapenda/kuhitaji nini?

Mwanamke anaitaji sio tu usalama bali anaitaji hata mwanaume ambaye atamjali hata katika mambo ya kifedha.mwanawake hasa wa sasa wanapenda pesa na wala si kitu chochote .mambo haya ndio yameletelea wanawake kuitwa magorikipa.wapunguze kupenda pesa.
 
Thatz not right! Sikubaliani nanyi,huenda mmeanzisha mahusiano na wanawake msiowajua kwa undani. Binadamu hatufani kitabia bwana!
 
Thatz not right! Sikubaliani nanyi,huenda mmeanzisha mahusiano na wanawake msiowajua kwa undani. Binadamu hatufani kitabia bwana!
Ni kweli watu hatufanani tabia. Lakini ipo general sychology ya wamama. Kumbe lazima uijue na uzijue tabia zao na mapendeleo yao. Zaidi ya hilo - kama ulivyosema - lazima umjue mke wako. Hapo sasa unaingia kwenye specific characters of a person ambazo zinatofautiana kutoka mtu hadi mwingine. Kumbe kina mama wana mengi yenye kufanana na wanayo pia yanayowatofautisha. Kumbe hapa tunajaribu kuona kilicho-common kwa wanawake wote. Je, wanapenda nini?!
 
Ni kweli watu hatufanani tabia. Lakini ipo general sychology ya wamama. Kumbe lazima uijue na uzijue tabia zao na mapendeleo yao. Zaidi ya hilo - kama ulivyosema - lazima umjue mke wako. Hapo sasa unaingia kwenye specific characters of a person ambazo zinatofautiana kutoka mtu hadi mwingine. Kumbe kina mama wana mengi yenye kufanana na wanayo pia yanayowatofautisha. Kumbe hapa tunajaribu kuona kilicho-common kwa wanawake wote. Je, wanapenda nini?!

kaka usemayo ni kweli lakini kitu ambacho ni common kwetu ni tunapenda wanaume kutupenda nakutujali pia kutupa nafasi ya kusikilizwa kama mmoja wa mchangiaji mkubwa kwenye maamuzi yahusio mahusiano yetu au familia yetu.
 
Kuna jambo linanishangaza sana kwa kushindwa kulielewa ni hili suala la wanawake huwa wanapenda au kutaka nini wawapo katika mahusiano kwani nafikiri huwa hapa ndipo pasipoeleweka na ni chanzo kikubwa cha migogoro katika mathalan ndoa. Ukifikiri tatizo ni mali na starehe utapotea kwani wanawake walio na pesa na wenye fursa ya kwenda starehe utakuta kingine si waaminifu. Ukisema wanawake wanataka mwanaume msikivu basi atamdharau na kumfanya ajikie like a crap. Ukisema mwanaume anayewahi nyumbani basi yeye atakuja saa kumi asubuhi, kusema kitchen party ee bwana ee sielewi kabisa.

Na muda wote wanawake hawakiri kuwa na mahusiano mazuri na waume zao hata kwa senti moja, kwa tathmini utasikia 99% hawako happy. Sasa sijui tuwarudishe kwa wazazi wao. Na hata wazazi utakuta baba anamwambia mtoto wa kiume kuwa uyaone wanawake ni soo. Sasa mimi naona mwanamke poa kwangu ni mama yangu na almost kila mtu anaona hivyo but ukimwuliza baba ni vipi hapo kwa demu wako? Atakwambia mama yako kikwazo sana. Sasa nisadieni kwanza swali lenyewe ni noma kwani point za-flow kama wese vile.

Maongezi ya wanawake wengi katika ndoa ni ya ku-reposition mwanaume mfano aaa uniniambie bwana, acha hizo, nk yaani akilinganisha na wanawake wengine.

In contrary, wanaume hufikiria wakistruggle na kupata mali basi maisha yao ni poa. You see here they always aim high but keeping expectations low; which is a life principle. But wanawake wengi ni day dreamers etc. To me I see a lot of double standards in women and all that they advocate. Wakati wanaume wan standard moja duniani kote why ya wanawake haijulikani na hata wao wenyewe? I sometimes think its a demonic thing since creation.

Sasa swali wanawake wanataka nini katika mahusiano? Ili waache kulalamika kila kukicha kwani hata wapigania haki za wanawake hawajui wanawake wanataka nini na wao wenyewe hawajui kwanza kwa sababu wengi hawajaolewa au walishindwa kuelewa wanahitaji na kutaka ni katika mahusiano waka-break. Na still hadi sasa hawajui wanataka nini.

Karibuni and lets share experience and knowledge

Uhitaji wa mtu hauwezekani, unabadiika kutokana na mazingira. Inawezekana uhitaji wake unao, akatokea mwingine akahitaji zaidi ya yule wa kwanza.

Vitu vingine ni kuomba mungu uhitaji wako uwe wa kawaida tu, tuna tabia ya kutoridhika na vile tunavyohitaji.
 
Ni kweli watu hatufanani tabia. Lakini ipo general sychology ya wamama. Kumbe lazima uijue na uzijue tabia zao na mapendeleo yao. Zaidi ya hilo - kama ulivyosema - lazima umjue mke wako. Hapo sasa unaingia kwenye specific characters of a person ambazo zinatofautiana kutoka mtu hadi mwingine. Kumbe kina mama wana mengi yenye kufanana na wanayo pia yanayowatofautisha. Kumbe hapa tunajaribu kuona kilicho-common kwa wanawake wote. Je, wanapenda nini?!
Kuna baadhi ya tabia zinajirudia rudia...ila siyo wote au ni ukweli 100% 1.kupenda fedha..2.kusifiana kunenepa(shosti umependeza!)...3.kuchotwa kirahisi na kila mafundisho...4.kudanganyana-kila wakutanapo ni kujizushia kushindwa a.k.a 'kutendwa' hata kama anaenziwa na kupendwa..ni kajifashioni fulani hivi-wanajisahau maneno huumba...5.kusahausahau mambo/vitu...6.wasiwasi na kutojisikia salama.....MUNGU anamakadirio yake ktk uumbaji (supernatural calculations) thru tunayoyaona kuwa ni udhaifu/mapungufu ndio faida kwetu vinginevyo tungekuwa midume mitupu...ingekuwa sooo kama sio tafarani.. Hivi tuwavumilie na tuishi nao kwa akili..
 
Back
Top Bottom