Wanawake huwa mnakwama wapi?

Wanawake huwa mnakwama wapi?

Kwa upande mwingine kumblock mtu Ni kwamba unamuogopa ama la hutaki mawasiliano nae kivyovyote vile hasa Kama Ni msumbufu, kanuni yangu Ni hii endapo mtu akinilazimisha kumpa ban, tia tofali halafu Ni kufuta namba maisha yanaishia hapo
 
Kwa upande mwingine kumblock mtu Ni kwamba unamuogopa ama la hutaki mawasiliano nae kivyovyote vile hasa Kama Ni msumbufu, kanuni yangu Ni hii endapo mtu akinilazimisha kumpa ban, tia tofali halafu Ni kufuta namba maisha yanaishia hapo
Noelia usiniblock Wala kuniwashia airplane mode tafadhali utaondoka na roho yangu
 
Kwa upande mwingine kumblock mtu Ni kwamba unamuogopa ama la hutaki mawasiliano nae kivyovyote vile hasa Kama Ni msumbufu, kanuni yangu Ni hii endapo mtu akinilazimisha kumpa ban, tia tofali halafu Ni kufuta namba maisha yanaishia hapo

Bora mtu akublock forever sio anakublock leo then after five days au yakimchachia anakuunblock. Mimi nikikutia block ndio jumla na huwa ni ngumu kufikia hatua hiyo ila ikifikia hvyo nnakuwa sina cha kuendelea na huyo bin adam.
 
Bora mtu akublock forever sio anakublock leo then after five days au yakimchachia anakuunblock. Mimi nikikutia block ndio jumla na huwa ni ngumu kufikia hatua hiyo ila ikifikia hvyo nnakuwa sina cha kuendelea na huyo bin adam.
Tuko sawasawa nikiweka tofali silitoi ndo kanuni yangu hiyo kabla ya maamuzi hayo huwa nimejiridhisha vya kutosha kuwa sitarudi nyuma
 
Kwa upande mwingine kumblock mtu Ni kwamba unamuogopa ama la hutaki mawasiliano nae kivyovyote vile hasa Kama Ni msumbufu, kanuni yangu Ni hii endapo mtu akinilazimisha kumpa ban, tia tofali halafu Ni kufuta namba maisha yanaishia hapo
Usinifanyie hivyo mtoto mzuri😍
 
Kwa upande mwingine kumblock mtu Ni kwamba unamuogopa ama la hutaki mawasiliano nae kivyovyote vile hasa Kama Ni msumbufu, kanuni yangu Ni hii endapo mtu akinilazimisha kumpa ban, tia tofali halafu Ni kufuta namba maisha yanaishia hapo
Duuh huu ni ukatili sasa
 
Tuko sawasawa nikiweka tofali silitoi ndo kanuni yangu hiyo kabla ya maamuzi hayo huwa nimejiridhisha vya kutosha kuwa sitarudi nyuma

Mimi nikiblock huwa nnaasume huyo mtu haexist tena kwenye dunia yangu namfutilia mbali kabisa na haijawai tokea nikajutia hilo kabisa.
 
Kuna wa kuwafanyia hivyo ila sio wewe, Yani nikikuwekea tofali halafu nikalitoa baada ya wiki au mwezi itakuwa Ni kujichoresha mtu aina hiyo sithubutu hata kukitafuta kitufe cha block utanikera nitanyamaza kwa muda ama nisikutafute ila sio kuweka tofali
Usinifanyie hivyo mtoto mzuri😍
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom