Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,032
- 111,622
Akili zetu ziko saresare katika hili![]()
Kuna wale wenzetu wakiblock saa 4 ikifika saa 8 hajiwezi

Akili zetu ziko saresare katika hili![]()

Hao ndo wakuitwa vilaza Sasa,Kuna wale wenzetu wakiblock saa 4 ikifika saa 8 hajiwezi![]()
vilaza square
Nashukuru huo ukilaza sijawahi kuufanya tangu niwepo,
duh! Kwa majibu haya nina uhakika ungekuwa karibu na mtoa mada sasa hivi ungekuwa unatafuta wapi ilipo barafu angalau uchuwechuwe.









Dah..ingekuwa tuko india ambapo wanawake ndio huoa nisingekubali hadi unioe na mimi tuwe wanaume wawili bonge moja la mwanamke wewe dadaNyie mnachapa huko kitaa sisi tunaondoa stress kwa Ex's wetu. Ngoma drooooo. ........ANY WAY NATANIA Ila ndivyo ilivyo. Na mm kuna kipindi Ex wangu alikua anapenda kuwasiliana na mm yy kaoa na mm nimeolewa sasa alikua anatake advantage kwa sbb alikua yuko nje huko America anasoma yani vile kunikumbushia zile moment tulizokuwanazo sijui venye tulikua tunafanya. Mhhh badae nikawazaaa si hhyu alioa akaniacha huyuuu au ni mwingine? Leo hii nimeolewa na mm anataka kunifanya revision paper? nikasema noo mume wangu ananipenda sanaaa nisije haribu nikablock mazimaa yani sina namba ya mvulana yoyote mimi. Kwa sbb huwa hawawezi kuvumilia kuwa rfk tuu lazima wanitake tuu.
Hii comment yako,inakupunguzia creditSpea tairi muhimu![]()
😀😀Hii comment yako,inakupunguzia credit
Ndo hapo sasa.Kwani ni lazima umsitiri? Si umuache aendelee kuhangaika na dunia?
Nyie mnachapa huko kitaa sisi tunaondoa stress kwa Ex's wetu. Ngoma drooooo. ........ANY WAY NATANIA Ila ndivyo ilivyo. Na mm kuna kipindi Ex wangu alikua anapenda kuwasiliana na mm yy kaoa na mm nimeolewa sasa alikua anatake advantage kwa sbb alikua yuko nje huko America anasoma yani vile kunikumbushia zile moment tulizokuwanazo sijui venye tulikua tunafanya. Mhhh badae nikawazaaa si hhyu alioa akaniacha huyuuu au ni mwingine? Leo hii nimeolewa na mm anataka kunifanya revision paper? nikasema noo mume wangu ananipenda sanaaa nisije haribu nikablock mazimaa yani sina namba ya mvulana yoyote mimi. Kwa sbb huwa hawawezi kuvumilia kuwa rfk tuu lazima wanitake tuu.

Shida ni unampomstiri mtu halafu mwisho wa siku anakuona Tonji

HahahaaaNjoo Pm nikupe zawadi yako!ikiwezekana twende Serengeti tukajadiliane vizuri kuhusu hili![]()
Hata aibu huna, nyie wanawake wa hapa mjini dah!Spea tairi muhimu😀