Wanawake hukubali kufanya mapenzi kinyume na maumbile wakidhani wanawaridhisha wapenzi wao

Status
Not open for further replies.
Yaan hiz mada za Tigo zinashawish sana unaweza kujaribu kukosea njia maalum wakat wa kugegeda ili tu ujirzshe kinachojadiliwa kila siku
Kuwa makini na utumie akili yako wewe kama wewe mkuu, usishawishike kwa mada za humu na si kweli kuwa kila anayeandika hapa pia ni mtekelezaji.

Take care,
 
all in all, wanawake hawataacha kugawa tiGO kamwe hadi pale wanaume watakapoacha kuzichangamkia hizo tiGO.
 
Neno
Kwa akina mie hata aende kulalia miili ya wanawake 100 mbele yangu na ninampenda sitampa ng'oooooo, ndio kwanza atanikoma nikiamua anikome.
 
Uozo kwa wote....kuna wadasa wanapenda tu watoe wanapenda huo mchezo wakiamini pia wanaume wanapenda huo mchexo pia.....so kudatishana style......we are finished kwa kweli disaster hii
 
Neno
Kwa akina mie hata aende kulalia miili ya wanawake 100 mbele yangu na ninampenda sitampa ng'oooooo, ndio kwanza atanikoma nikiamua anikome.
inamaa ata finger haijawah ingia kipindi unajitawaza,
 
Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana, ni watu walioumbwa na true love sana huwa wakienda wamependa ndiyo wanaoumia zaidi yetu sisi wanaume, huwa wanajiheshimu sana kutoka nje ya mahusiano kwa mwanamke ni mara chache sana na hii hufanya baada ya kuumizwa sana na sasa wanaume ndiyo maana wamekua na roho mbaya sana wasiwaze tena kupenda bali ni kukomoa mwanaume kwa kutuchuna wanawaza ela tu na good life, bata nk.

Mimi kuna sametime msichana huniambia nakupa tigo ili nikuridhishe mpenzi but dah kiukweli mwanaume haritdiki hata kidogo. Hili limefanya kina dada wengi kuongoza kwa kasi utoaji wa tigo sana huu mchezo umekuwa kwa kasi ya ajabu hadi kwenye ndoa ni siri ya mfanyaji na mfanywaji ila wanawake wanaumizwa na kutendwa.

Hivi mwanamke akupe back alafu bado akukute unatoka nje tumewafanya hawa viumbe wawe wana roho mbaya kwa tunavyowatenda kwa kuwaumiza na kuwafanya mapenzikinyumena maumbile, hivi wanasikaga raha kufanywa hivyo au uchungu? Maana wengine hutegeshea wenyewe sasa sijui ni ili akudatishe au ndio unakua mchezo wake?

Tupige magoti tusali dunia imeharibika sana.
ila cyo vzur kufanya ivp
 
Wanawake sikuhiz wanatumika mpaka papuchi inakua ya baridi na wakistuka soko limepungua sababu papuchi haina radha wanafanya kwa ridhaa Yao kutubadilishia taste ili warudi kwenye soko kwa kasi ya juu
 
Nahisi kama haya maandiko mengine yanachangia, maana hapa inaonesha ataepewa adhabu ni mfanyaji tu. Kutokana na maandiko haya, kuna uwezekano mkubwa anaekupa kinyume cha maumbile anakufanyia kusudi usiurithi ufalme wa Mungu:

1 WAKORINTHO 6

9. Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom