Hivi ni kwa nini kwa mara ya kwanza ukimzoea msichana na kuwa naye karibu, halafu usimtongoze, ikipita muda fulani anakuchukia hata kama hamna uadui? Nini tatizo?
Hueleweki mbona????
Umesema umemzoea na kuwa nae karibu, mara hauna mazoea zaidi ya salamu....bwana weee kwaheri!!!!!