Tabrett
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 521
- 338
Wanaume ndo wanasifiana?nikwel wanawke hawacfian kbxa
Wanaume ndo wanasifiana?nikwel wanawke hawacfian kbxa
Si kweli,mbona wanawake wengi sana wanasifiana me nachojua wanaume ndo hua hawasifiani japo kwa physical appearance!wadau, je ni kweli ni vigumu kwa mwanamke kumsifia mwanamke mwenzake kwamba ni mzuri wa sura, pia inasemekana mwanamke ujisikia vibaya pale ambapo mwanamke mwengine anaposifiwa mbele yake. je wadau hili swala ni la kweli? na kama ni kweli ni kwasababu gani hawasifihani?
Lady doctor leo umependeza jamaniHuo ni utoto sasa, me mbona huwa nawasifia sana tu.
Kizuri kipe sifa yake bana
Lady doctor leo umependeza jamani
Utakuwa lesbo wewe, utauoanaje uzuri wa mwanamke mwenzako??? Unatakiwa kunotice uhandii wa mwanaume bwana. Mimi nina tuelement twa ulesbo ndio maana nakuzimikia na nishamuomba The Boss tuifanye ile fantasy yake ambayo kaigeuza reality ya sliisam! LOL
Note: HORSE POWER kasema mwanaume kumsifia mwanaume wake inaleta maswali, so na mwanamke kumsifia mwanamke mwenzake kwanini isilite maswali?????
Utakuwa lesbo wewe, utauoanaje uzuri wa mwanamke mwenzako??? Unatakiwa kunotice uhandii wa mwanaume bwana. Mimi nina tuelement twa ulesbo ndio maana nakuzimikia na nishamuomba The Boss tuifanye ile fantasy yake ambayo kaigeuza reality ya sliisam! LOL
Note: @Horse power kasema mwanaume kumsifia mwanaume wake inaleta maswali, so na mwanamke kumsifia mwanamke mwenzake kwanini isilite maswali?????
wadau, je ni kweli ni vigumu kwa mwanamke kumsifia mwanamke mwenzake kwamba ni mzuri wa sura, pia inasemekana mwanamke ujisikia vibaya pale ambapo mwanamke mwengine anaposifiwa mbele yake. je wadau hili swala ni la kweli? na kama ni kweli ni kwasababu gani hawasifihani?