Wanawake hawajumbiwa ku provide, tutafute hela

Wanawake hawajumbiwa ku provide, tutafute hela

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
13,902
Reaction score
31,152
Natumai ni wazima na sikukuu imeenda poa kwenu.
Moja Kwa moja kwenye mada,unapotafuta mwenza either Kwa kuoa au ile sogea tukae lengo ni kuukacha ukapela na kupata msaidizi.

Inatokea maisha yanakua vizuri tu mwanaume una uwezo wa kulisha familia na ABC zingn hazipigi chenga.
Lakini katika maisha siku hazifanani, Kuna wakati mambo yatayumba utapoteza kazi yako, utakua huna uwezo wa mtoa out tena😓
Na kumpa mambo mengn ulokua unampa wakati wa nyuma, heshima inapotea
Binti anaanza dharau, kuchelewa kurudi kazini😓
Unyumba Kwa mbinde na mengn mengi.
Ukiona hayo yote yanatokea tambua tu kwamba mwanamke hajaumbwa kua provider wa familia na ukiona kaweza kuubeba msalaba wa familia ujue imemlazimu tu mume wake kafa either au talaka.

Point apa ni kutafuta pesa kuepusha dharau za hapa na pale
 
Kama hapaswi kuwa mpambanaji, basi ajue majukumu yake na kuyakabili vyema, sio kutwa 50 50
True, Hii picha inanifikirisha
20221221_095025.jpg
 
Yote tisa,kumi ni kupata mwanamke ATAKAYEKUPENDA KWA DHATI basiii...mwanamke akikupenda atavumilia kwa kila jambo,tatizo lenu mnaokota okota tu ovyo wanawake!
 
Jambo la maana ni kwamba ukiachana na ujinga wa binadamu ni kwamba mwanamke hata kazi hatakiwi kufanya.. mwanaume ni kupambana mwanzo mwisho kulelea familia, kuipa ulinzi , makazi na malazi familia ikiwa na mkeo na watoto kuwalisha plus kuwavisha.
 
Ni uhuru wa kutoa Maoni.

Lakini kiukweli kabisa ulichokiandika ni totally Wrong.

Hamujui historia, Hamujui kazi za Wanawake.
Tukipata nafasi tutatoa Darasa
 
Hii picha imeshajieleza! Kua Mwanaume ndiyo Kiongozi hata Kama Mwanamke atataka kuja mbele lakini hilo haliwezekani,kila Mtu abaki kwa nafasi yake ya asili!!
😍😍
 
Back
Top Bottom